Huyu ana akili sanaOur leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
Hahahahah[emoji16][emoji16]Raisi wa Somalia katembea kwa miguu wala hajalalamika.
Hivi wale walizi wa Bitozo Hangaya wamekaa wapi.....Hawaonekani!!😳View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
leo wapo off na wao wanahudumia ndoa zaoHivi wale walizi wa Bitozo Hangaya wamekaa wapi.....Hawaonekani!!😳
Ahaaa!leo wapo off na wao wanahudumia ndoa zao
Walinzi wote marufuku kusogeaHivi wale walizi wa Bitozo Hangaya wamekaa wapi.....Hawaonekani!!😳