Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka, unajua shemeji yako tuko naye hapa jukwaani, hebu usinitafutie balaa. Mambo ya kulea watoto peke yangu sitakiKwahiyo baada ya maongezi mzee mwenzangu ukala tunda kimasihara au nawe uliogopa kama wazembe wengine??
Tumsifu Yesu Kristo kaka 🤣🤣Kambi ya Fisi, shemeji yako tupo naye hapa JF, mambo mengine hatufunguki, yanaishia hukohuko
Usijidanganye we mzee Demi wako atagongwa tu na wasee wa muji 😂Ndio maana Demi wangu namfunguloa bonge la bizines ili wakware wajingawajinga waogope kumwomba tunda kimasihara....
Utakula Pizza au Burger?Naskia njaa
Nyama choma kilo moja, ndizi mbili, safari beer 6Utakula Pizza au Burger?
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Hapana mkuu sitagongwa na wengine🙂Usijidanganye we mzee Demi wako atagongwa tu na wasee wa muji 😂
Nikupe namba yake?naanzaje kushindwa 😂
Kwahiyo siku hizi hunywi tena Konyagi?Nyama choma kilo moja, ndizi mbili, safari beer 6
Mkuu niunganishe nae nijaribu bahat yangu ....natanguliza shukran zangu za dhati [emoji120]Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
nipeNikupe namba yake?