Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba, si upite naye wewe..!!??Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Ha haaaa njaa jamani, msijifanye hamnielewi🤣🤣🤣 aina hii ya vizinga huwa vinanichekeshaga sana
Jiongeze!nipigie pande huyo mwana Mama
Mzee wa kupambania kasema baadae atanigonga
Au atupe connection wapambanaji....Mwamba, si upite naye wewe..!!??
Haha ngoja Bujibuji Simba Nyamaume akufanyie maarifa mimi nicheki jioni kwenye 🍻Ha haaaa njaa jamani, msijifanye hamnielewi
Akugonge, ufe. Maiti yako itupwe baharini samaki wakukule. Wavuvi wavue samaki nimnunue... nimkaange nimle afu nimnye ili funza wakutafune vizuri...Mzee wa kupambania kasema baadae atanigonga
Kuna kitu kinaitwa ujasiri, kama huna hii, kumvamia mwanamke aliyekuzidi status au nguvu ya uchumi wanaume wengi hawana...Sio kwa dunia ya leo iloyojaa marioo wanaopenda kitonga labda. Uyo sisteri ajifanyie tathmini anakwama wapi, labda mnyanyasaji.
ShindwaaaaAkugonge, ufe. Maiti yako itupwe baharini samaki wakukule. Wavuvi wavue samaki nimnunue... nimkaange nimle afu nimnye ili funza wakutafune vizuri...
Malabuku
Ndio ujirekebishe sasa. Mi wivu sina ila roho inaumaShindwaaaa
Nitakumegea siri za hako ka Demi kako najua hukajui vizuri.
Je shape anayo?Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
🤣🤣🤣 tukishamaliza kuumwagilia moyo tunaenda kumwagilia vikojoleoMzee wa kupambania kasema baadae atanigonga
He he he heeeeeNitakumegea siri za hako ka Demi kako najua hukajui vizuri.
Wala ugali wa mtama na maziwa mgando + michembe wanaomtreat Demi wamo humu babu wanakuchora tu babu, au mpaka niwataje kwa majina ndio utaamini?
Demi hakufai babuu
Ndio ndio🤣🤣🤣 tukishamaliza kuumwagilia moyo tunaenda kumwagilia vikojoleo