Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

mwanaume anaejitambua huwa anaona fahari kuwa mtawala na provider wa familia yake, sasa hawezi mtongoza mwnamke wa aina hiyo kwa kuofia kunyang'anywa nafasi yake ndani ya familia unless awe ni mvulana au wakiume na sio mwanaume
 
Marioo na vibenteni huu uzi wanaufuatilia kwa weledi.

Lesbooz unasababishwa na mwanamke kuwa na pesa,
Gayism unasababishwa na mwanaume kutokua na pesa.

Mbombo ngafuu, Bongo sihami wallah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah umenikumbusha
kuna kipindi kwenye utafutaji wangu nilikuwa nasukuma mkokoten wa vinywaji nikamwona dem mmoja rika langu (nilikuwa namkubali sana) niliyekuwa namwona mara kwa mara siku hyo yuko peke yake (ila dada yake naye ana mal na anatembelea bmw)
Nikasema leo namba nachukua pale kumbe dada yake yupo around pale pale
Nilipokuwa nmesimama nae tukasalimiana nimwombe namba
Dada yake kafika …paap! Huyu hapa

Dada yake: unamwongelesha nini mdogo wangu

Mimi: nilikuwa nasalimiana nae

Dada: unasalimiana nae ndio umsogelee karibu

Mimi: hapana

Dada: muone [emoji849]em toka hapa

Mimi kimya nikafata mkokoteni wangu nikaanza kuusukuma

[emoji23][emoji23][emoji23]alivyoniona nasukuma mkokoteni bora ningevunga hata nisiufate kwanza

Kuna watu walikuwa jiran pale hadi walinishangaa na kunicheka

Dada: kaah mtu mwenyewe kumbe msukuma mkokoteni
Utampa nini mdogo wangu
Huna hata hela ….. mwanaume surual
Jiangalie na majasho yako upo upooo
(Si mnajua wadada wanavyojua kusuta..unapandishwa unashushwa unawashwa unazimwa)

Mimi kimya 🥹🥹na mkokoten wangu taratibu nikasonga [emoji3062][emoji3062]
Aisee
 
Mwanamke yoyote mpambanaji mweny biashara kubwa Lazima atakua na masculinity kubwa.

Hapo ubabe,kufoka,ubize mwingi, kampani na wanaume(wafanyabiashara wenzie)
,Safar za mara kwa mara, kutokudeka kimahaba, hapa ndo mahala pake.

Ukimzingua anakufokea km anavowafokea wafanyakaz wake.

Mwanaume yoyote mwenye uanaume wako huwez kuishi na MKE wa hivi maana keshapoteza sifa za uanamke[emoji4]
 
Tatzo la hao wadada waliofanikiw historia inawahukumu,

Utakuta mafanikio yake ya mwanzo yalikuw na ushiriki na mme wake /mpz wake alipoanz kushik pesa kama desturi zao wakaona huyo mmewake hana maan akapg chin this time amepat pesa anawaza mume Tena

Majuto ni mjukuu
 
Principles zinakataa na kugoma mwanamme kuwa receiver,tangu enzi za mababu na uumbaji mwanamme ni mtoaji(giver),angalia maumbile ya mwanamme na mwanamke tulivyoumbwa,wanaume tunatoa tangu Edeni,hatuna mlango wa kuingiza(no entry) lakini tunatoa kwa kanuni hizo mwanamke anabaki kwenye nafasi ya kupokea na kuwa msaidizi maisha yakiwa hivyo no complains
 
Tatizo linaletwa na ubinafsi wao. Mwanaume akipata pesa jambo la kwanza anafikiria kuongeza mke, hii inamaanisha sisi ni wakarimu. Mwanamke akipata uwezo tu, jambo la kwanza analowaza ni kuwa haitaji mwanaume kusahau kuwa na sisi tuna umuhimu wetu hata kama ikiwa hatuna pesa.

Apambane na genye zake.
Badae anapata upweke uliokithiri au sonona, anakua na hasira zisizo na msingi kiufupi wanapata shida sana.. mara nyingi furaha yao sijui ni nini ?
 
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Hivi kuna uhusiano gani hawa wamama wenye maduka/business kulana wenyewe kwa wenyewe.. (lesbian)
 
Ndio maana tunatoa mbegu, wao wanapokea.
Principles zinakataa na kugoma mwanamme kuwa receiver,tangu enzi za mababu na uumbaji mwanamme ni mtoaji(giver),angalia maumbile ya mwanamme na mwanamke tulivyoumbwa,wanaume tunatoa tangu Edeni,hatuna mlango wa kuingiza(no entry) lakini tunatoa kwa kanuni hizo mwanamke anabaki kwenye nafasi ya kupokea na kuwa msaidizi maisha yakiwa hivyo no complains
 
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.

Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.

Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.

Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.

Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.

Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.

Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Mkuu let me guess,
SHE IS Above 30 yrs old.

women! women! wanadhani kuwa they do great things in life coz they got multiple degrees , good paying jobs, cars, houses .
TRUST ME BRO!
"I KNOW THEY ARE NOT HAPPY"

KWASABABU
what trully makes a woman happy is :-

  • SUBMITTING
  • FOLLOWING
  • SERVING
  • PLEASING A MAN
mkuu yeye ndio anatakiwa kuFix mindset yake (she think she is better than men).

muulize anajua wajibu wa mwanamke kwenye relationship?
anajua what makes a real man happy?

JE ANASIFA ZIFUTAZO?
Is she fit?
is she feminine?
is she cooperative?
is she sexy?
she got relationship skills right?
 
Back
Top Bottom