Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hata hiyo haipandi😅😅Samahani... nilimaanisha K Vant...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hiyo haipandi😅😅Samahani... nilimaanisha K Vant...
Ndugu yangu umeamua kuwa mgomvi wangu?nipe
Usimtie moyo aspirin kwa kusema hivyo.Hapana mkuu sitagongwa na wengine🙂
Vipi ulimtongoza?Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
😅😅😅Usimtie moyo aspirin kwa kusema hivyo.
Siku ya kugongwa ikifika utagongwa na wagongaji walao ugali wa mtama hadi umtukane aspirin kwa ugongaji wake wa one second chali 😂
Tulia Babu na sisi wajukuu tupite 😂Ndugu yangu umeamua kuwa mgomvi wangu?
Acha zako basi... Siku ile tulikunywa nini?Hata hiyo haipandi😅😅
Wewe ulikunywa Fanta, mimi SafariAcha zako basi... Siku ile tulikunywa nini?
Yani umefurahi... Msaliti mkubwa wewe...
Dah.... Matusi mengine ni kama mtu anakutukania mama yako wallahWewe ulikunywa Fanta, mimi Safari
Babu kwema huko?Yani umefurahi... Msaliti mkubwa wewe...
Mkuu mbona unatoa siri za jirani yangu?. Jana wakati mnatoka pale tuliwaona tukajua angalau jirani naye kabahatika. Kumbe unakuja kuvujisha maisha ya mwenzetu huku dah.🙄️🙄️🙄️🙄️Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Mkuu nipe connection ya dada kipenziAchana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Kha! Kivipi yaaniYani umefurahi... Msaliti mkubwa wewe...
Kenyewe kana wasaidizi tena wasukuma utakashinda kweli.Dawa ni kukatafutia msaidizi
Yaani mtu anakuambia utagongwa badala ya kukemea pepo wewe unacheka kwa furahaKha! Kivipi yaani
Kugongwa raha hebu niacheYaani mtu anakuambia utagongwa badala ya kukemea pepo wewe unacheka kwa furaha
🤣🤣🤣 aina hii ya vizinga huwa vinanichekeshaga sanaNaskia njaa