Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Hapana. Nliambiwa nikaenda mwangalia. Yule hayupo smart kama mimi.mwandiko wake mbaya,una makosa.hana akili za kumwagika.pia si handsome so hata hapati mademu wakali.ingawa kachukua avatar yangu lakin mademu wakienda onana naye live wanamkimbia. Pia nasikia anauzia watu sijui vitabu gani. Mimi Gudume siwezi weka namba yangu kwenye mtandao kwa any business

Maana mbwembwe na machachari yake ni kama yako tu...


Cc: mahondaw
 
Hizo ni Tabia za wanafunzi na washamba washamba.
 
Hiyo namba moja unaniudhi sana, unakuta mtu anapiga simu hupokei anaendelea kupiga tuuuuuuu...hata mara ishirini! Ukipiga simu mara moja au mbili na haipokelewi, chili..uliyempigia ataiona, atakupigia au andika text message..damn
huyu ni jamaa yangu anatwanga simu hata mara 10+ badae analaumu kwamba nilikuwa nimeweka kwenye mtetemo ndo maana sisikii simu kumbe nakuwa na mambo mengine.
 
Anakuwa na jambo gani nyeti hivyo?

huyu ni jamaa yangu anatwanga simu hata mara 10+ badae analaumu kwamba nilikuwa nimeweka kwenye mtetemo ndo maana sisikii simu kumbe nakuwa na mambo mengine.
 
Kuna ile unamtafuta mdada anakuuliza namba yangu umeitoa wapi, halafu ukimpotezea analalama hana bahati. Karne ya namba yangu umeitolea wapi ishapitwa tayari. Ukipigiwa tulia kama vocal hazipandi unachomoa life linasonga.
 
Zamani wakati sim ikiwa ni huduma adim, kitendo cha kupokea simu au kupiga kilikuwa ni kitendo maalum sana na kwa sababu kubwa za msingi tu. Zilipoingia simu za kiganjani zilikuta watu wana hamu ya kupiga simu sana. Baadhi ya watu wamechelewa sana kumiliki hizi simu za viganjani na hamu zao za kupiga simu bado zipo juu sana.
Hivyo mkuu wasikukwaze sana ,ni swala la muda watakuja kuchoka wenyewe.
 
Basi hayupo smart. Mi kuna mmoja nlimwambia akagundua amenikwaza. Alinipigia sana kwa simu yake akaona sipokei.akawa anatumia nyingine siifahamu.sikupokea nlihisi tu ni yeye.baadaye nikampigia kwnza kwa namba yake.then nlipomaliza nikampigia kwa ile nyingine nako akapokea. Nikamuuliza nani mwenzangu akajibu flani.nikamwambia sasa uliona sipokei kwenye namba ile ukaamua kupiga kwa hii kwani unanidai?ukiona mtu hapokei simu jua yupo busy au una dharura gani?akakosa majibu nikakata simu.


basi kuna unyeti wowote basi tu kero na ujinga wake na huwa sipokei makusudi tu nashangaa ajastukia
 
Seconded
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…