Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Naunga mkono hoja
 
nadhani hiyo namba 7 sio mbaya na inategemeana na wewe na hiyo mtu mna mahusiano gani ? kwa mfano umemaliza weeks hujapiga simu nyumbani kwenu wataacha kukuuliza hivo ? au mpenzi wako
ila kwa jinsi nilivisoma uzi wako mkuu nimegundua wewe ndio umejitakia huo uswahili kwa maana huwezi kuwa na namba za watu wa aina hiyo kama na wewe huna uswahili[emoji23]
 
Mtu anapigiwa simu anasema niko na fulani huyu hapa ongea nae, ningekuwa na shida ya kuongea naye ningepiga mwenyewe simu yake.
 
Hata mtu akimaliza mwezi au mwaka kama unapiga simu unampigia tu si kulaumu kuwa mbona hunipigii kwani kuna makubaliano ya kuwa mimi niwe nakupigia tu?

 

[emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
 
GuDume "niambie".....msemo huu wa kishangingi siupendi kweli na mwanamke akinipigia simu na kuanza kusema hili neno nampa red card na kukata kabisa mahusiano naye. Mara nyingi unakuta lishangingi liko na wenzake linakupigia simu na kukuambia niambie mtu wangu ili aonyeshe wenzake kuwa wewe (mwanamme) ni zezeta lake.
 
WhatsApp ina setting kuondoa hii kero
Labda tu hujajua kuitumia
 
Ww jamaa inaonekana ni muhaya afu ndio umeanza kushika shika viji hela [emoji3][emoji3]ngoja u broke utatamani hata mtu akubeep
 
Hiyo namba 6 siku hizi kwenye setting kuamua nani akupigie

1. Everyone
2. My Contacts
3. Nobody
 
Kuna ile mtu ana namba 2 kwenye simu yake wew umemtext mfano kwenye voda halaf yeye anajibu na namba ya airtel ambayo huijui na wala hajitambulishi kam mm ni flan huko inakera sana
Kichwa chako kizito tu

Kama ukimtext akajibu hapo hapo unashindwa kuelewa muktadha wa mazungumzo
 
Kamba hii ni ww ila utaki tuvumbue ukwel !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…