Hii ni tafsiri ya maendeleo kutoka Kwa lazern muisraeli aliyeishi sana Cameroon,

Hii ni tafsiri ya maendeleo kutoka Kwa lazern muisraeli aliyeishi sana Cameroon,

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
"watu duni kifikra hudhani ujenzi wa miundombinu ni maendeleo, yaani barabara, reli, madaraja, hayo sio maendeleo ni mahitaji ya eneo husika tu"
Hayo hapo juu ni maneno ya rafiki yangu mmoja kutoka moja ya nchi zilizoendelea na katika maongezi aliendelea kueleza yafuatayo.
Mtazamo wa maendeleo hutofautiana pia kulingana na mazingira, Kwa mfano nchi ili iendelee lazima iwe inauwezo wa kufanya gunduzi mbalimbali ikiwamo gunduzi za huduma ambapo zile huduma zitategemewa na kuingiza kipato cha fedha ya kigeni,
Maendeleo ni uwezo wa kuzalisha bidhaa na uweze kuwauzia wengine ili wewe upate pesa, akasema hata elimu za nchi maskini bado zinafifisha fikra na kua duni,
Niliwaza kumbe Kwa karne ya leo kusimama unasema umejenga barabara, madaraja, matundu ya vyoo kuna watu huko duniani wanakua wanakucheka bila wewe kufahamu,
 
Zanzibar tunafanya Marekebisho ya Elimu na Ubunifu. Tulieni muone maajabu
 
Hapo kwenye elimu amenigusa. Ndio maana huwa nasema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni ili mwanao asome English Medium shule ya msingi kwa sababu hiyo elimu inayo tolewa haina thamani inayo endana na hiyo hela.
 
Hapo kwenye elimu amenigusa. Ndio maana huwa nasema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni ili mwanao asome English Medium shule ya msingi kwa sababu hiyo elimu inayo tolewa haina thamani inayo endana na hiyo hela.
Mfumo wa elimu yetu bado hadi leo watoto wanafundishwa majimaji war utegemee tuendelee, innovation ndio maendeleo yamelala huko lakini bado hatuoni
 
  • Thanks
Reactions: I M
Mfumo wa elimu yetu bado hadi leo watoto wanafundishwa majimaji war utegemee tuendelee, innovation ndio maendeleo yamelala huko lakini bado hatuoni
Kabisa ndio maana hakuna sababu yoyote ile kulipa mamilioni kwa ajili ya shule za English Mediums
 
Hapo kwenye elimu amenigusa. Ndio maana huwa nasema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni ili mwanao asome English Medium shule ya msingi kwa sababu hiyo elimu inayo tolewa haina thamani inayo endana na hiyo hela.
Kivip mkuu unasema elimu inayotolewa haina thamani ya hiyo hela
 
Hapo kwenye elimu amenigusa. Ndio maana huwa nasema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni ili mwanao asome English Medium shule ya msingi kwa sababu hiyo elimu inayo tolewa haina thamani inayo endana na hiyo hela.
Dogo hili swala la English medium umelikomalia humu. Vipi binti yako wa miaka 16 anaendeleaje? Mzima? Bado unamwachiaga aende kwa boyfriend wake kuomba vitabu vya kujisomea?
 
Kakudanganya, barabara na madaraja ni sehemu ya maendeleo. Huko kwao, walianza na hizo hizo barabara, reli, madaraja na miundo mbinu mingine kuchochea maendeleo mengine.

Hayo ya “watu duni…” ni gaslighting, unakuwa manipulated kuamini kuwa, umasikini wa nchi za Afrika ni kwa sababu ya ujinga wetu wenyewe. Wakati kiukweli, nchi za global north zinafanya kazi ya ziada kuhakikisha nchi za global south zinabaki kuwa masikini, tegemezi, zisozalisha tradable goods.

Wanafanikiwa katika hili kwa kuweka viongozi mwanaserere, sabotage, masnitches kwenye karibu Kila sector na mgongo wa demokrasia kwa sehemu kubwa….! Mfano hapa wa upesi ni Ruto, mauaji yote ya Gen Z, umesikia kaitwa dikteta au nchi za Ulaya/Marekani kufungua mdomo kumkemea? Kwanini? Kwasababu ni kidampa wao, anafanya wanavyotaka, hawawezi kumsema vibaya mtu wao. Imagine, Ruto angekuwa sampuli ya marehemu Jiwe, dunia ingesimama.

Mfano mwingine wa upesi upesi, ni sakata la Dangote Refinery in Nigeria. Wazungu unao waona wa maana, kwa kutumia mbinu zao za kila siku, wanataka kuaminisha watu kuwa ujenzi wa refinery ni kitu kibaya kwa uchumi wa Nigeria, uharibifu wa mazingira na blah blah nyingine. Hivi inaingia akilini kuwa, Nigeria inauza crude nje ya nchi, halafu Nigeria hiyo hiyo inaagiza refined oil kwa hela walizouzia crude?? Hii ipo kwenye kila sector, kuanzia kilimo, madini na kadhalika. Wanataka Afrika iwe mzalisha malighafi tu…

Kuna muandishi wa habari wa Nigeria, kasema wazi wazi kuwa, Ford Foundation walitaka kumpa hongo kubwa, ili aandike makala ya kuponda uwepo wa hiyo refinery. Anadai, NGO flani ya UK, walikuwa kimsingi wamekwisha andika makala, yeye aweke jina ili makala ionekane kama imeandikwa na muandishi local. Pigo hizi ndiyo za kina Kabendera na vidampa wengine wanaotumika vibaya…

Kwa bongo yetu kumbuka, upinzani wakati wa mchakato wa kuanzishia ujenzi wa JNHPP na SGR kwa mifano ya haraka. Walitumika watu locol kupinga kwasababu ambazo unaweza kuziona za maana, lakini lengo hasa ni kukwamisha tubaki pale pale kwenye enzi za ujima.

Hivi nchi inaendelea vipi bila barabara na madaraja? Inaingia akilini kweli? Mfano mtu anakandia ujenzi wa daraja la Busisi, hivi unajua ni kwa kiasi gani daraja lile litachochea maendeleo kwa karibu ukanda mzima wa Afrika mashariki?

Kuhusu elimu yetu kuwa duni ni 50/50, kama umewahi kuishi na kufanya kazi nchi za magharibi basi utaelewa kuwa hawana u-superiority wowote wa maana katika elimu na mambo mengine. Sisi hatuna manufacturing kabisa, na hii ni kwa makusudi ili tubaki kuwa masoko ya bidhaa zao…! Nchi haiwezi kugundua kitu kama hakuna manufacturing, ambayo itasababisha manufacturers kuwekeza kwenye R&D (research and development), ambayo itasababisha ugunduzi au uboreshaji.

Hawa watu wa global north, kama wapo basi ni wachache sana wanaoitakia mema Afrika na waafrika…..
Atakae kupinga hana akili tena hana akili

Huwezi kutaka kuendelea bila kua nahayo majambo hayo uloyataja na mfano wake

Ukiwa na hayo mambo by nature yatafanya maendeleo yaje yatarahisisha usafiri nk

Wao wenyewe huko kwenye hii miundo mbinu wapo vizuri ila wanataka kutuaminisha sisi kua sio maendeleo

Halaf kuna watu wanamuona jamaa kaongea yamaana kumbe mwamba kaongea unafiq tuuu
 
"watu duni kifikra hudhani ujenzi wa miundombinu ni maendeleo, yaani barabara, reli, madaraja, hayo sio maendeleo ni mahitaji ya eneo husika tu"
Hayo hapo juu ni maneno ya rafiki yangu mmoja kutoka moja ya nchi zilizoendelea na katika maongezi aliendelea kueleza yafuatayo.
Mtazamo wa maendeleo hutofautiana pia kulingana na mazingira, Kwa mfano nchi ili iendelee lazima iwe inauwezo wa kufanya gunduzi mbalimbali ikiwamo gunduzi za huduma ambapo zile huduma zitategemewa na kuingiza kipato cha fedha ya kigeni,
Maendeleo ni uwezo wa kuzalisha bidhaa na uweze kuwauzia wengine ili wewe upate pesa, akasema hata elimu za nchi maskini bado zinafifisha fikra na kua duni,
Niliwaza kumbe Kwa karne ya leo kusimama unasema umejenga barabara, madaraja, matundu ya vyoo kuna watu huko duniani wanakua wanakucheka bila wewe kufahamu,
Ukitaka kujua miundombinu ni maendeleo ishi sehemu ambayo imekosekana
 
"watu duni kifikra hudhani ujenzi wa miundombinu ni maendeleo, yaani barabara, reli, madaraja, hayo sio maendeleo ni mahitaji ya eneo husika tu"
Hayo hapo juu ni maneno ya rafiki yangu mmoja kutoka moja ya nchi zilizoendelea na katika maongezi aliendelea kueleza yafuatayo.
Mtazamo wa maendeleo hutofautiana pia kulingana na mazingira, Kwa mfano nchi ili iendelee lazima iwe inauwezo wa kufanya gunduzi mbalimbali ikiwamo gunduzi za huduma ambapo zile huduma zitategemewa na kuingiza kipato cha fedha ya kigeni,
Maendeleo ni uwezo wa kuzalisha bidhaa na uweze kuwauzia wengine ili wewe upate pesa, akasema hata elimu za nchi maskini bado zinafifisha fikra na kua duni,
Niliwaza kumbe Kwa karne ya leo kusimama unasema umejenga barabara, madaraja, matundu ya vyoo kuna watu huko duniani wanakua wanakucheka bila wewe kufahamu,
Ni sawa na mtu kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo
 
Hayo ya “watu duni…” ni gaslighting, unakuwa manipulated kuamini kuwa, umasikini wa nchi za Afrika ni kwa sababu ya ujinga wetu wenyewe. Wakati kiukweli, nchi za global north zinafanya kazi ya ziada kuhakikisha nchi za global south zinabaki kuwa masikini, tegemezi, zisozalisha tradable good.
Are We Serious??? Yani Mpaka leo baso tunalalamika tu kuwa hatuendelei kisa kikiwa ni Wazungu. Yani tangu tupate Uhuru ni Miaka takribani 63 Bado tunalalamika juu ya Ukoloni Mamboleo.

Kwa kifupi sisi Waafrika na hao Viomgozi ndio tuna Matatizo. Tujiulize, Wachina waliwezaje Kujikwamua? India Waliwezaje kujikwamua? Ok hata North Korea naye anapambana hatujifunzi kwake?

Kwakifupi Sheria za kidemokrasia ndio zimetufikisha hapa. Ni wakati wa kibadili Mfumo wa Uongozi Afrika. Demokrasia hatuiwezi kwetu. Pia tuweke Sheria Ngumu kama ya Kunyongwa Kwa Wahujumu Uchumi/Mafisadi hapo ndio tutafanikiwa, hata kama Taifa litakuwa linaishi Kwa kutegemea misaada.

Hiyo misaada itafumika vizuri naadeni yatalipwa vizuri.

Libya lilikuwa Taifa Pekee Afika lililowahi kuwepo bila Madeni ya Wamagharibi kipindi cha Muamar Gaddafi, hatujiulizi Waliwezaje?

Inasikitisha kiukweli....
 
Tatizo wengi wetu tumejazwa ujinga kuwa, kila analosema mtu mweupe ni kweli..! Hakuna watu waongo, wazushi, wanafiki, wazandiki na mengi ya hovyo kama hao watu.

Ndiyo maana jamaa kaanza kwa kusema rafiki yake sijui muisraeli, ili “kuweka” uzito kwenye hizo points kuwa lazıma iwe kweli kwasababu mropokaji alikuwa ni mtu mweupe…
Kabisa hao majamaa wakikwambia sasa hivi mchana toka nje ukahakikishe kama kweli

Majamaa wanafiq waongo wazushi waharibifu na umesema kweli jamaa nlitaka kumwambia kwakua kasema mweupe ndio anasema ukweli

Watu weupe kiukweli ilitakiwa hata huko kwetu tuwafukuze wanafiq wauaji washenzi haswaaaa
 
1. Maendeleo ya Kiuchumi na Miundombinu ya kiuchumi
2. Maendeleo ya Kisiasa
3. Maendeleo ya kijamii na huduma za kijamii

Miundombinu kama madaraja, majengo NI sehemu ya maendeleo katika uchumi.
 
Si kila mwisrael aaminiwe kwa kila aongeacho hata kama ni utumbo, Waisrael wengine ni weupe tupu kushinda hata wabongo wa bonyokwa

Huyo jamaa yako kaongea pumba tupu

Maendeleo ili yaje, yanahitaji kiwezeshi cha kutafikia

Mfano mzuri ni namna Mungu alivyoanza kuumba ili kuja kumweka mwanadamu aishi kwenye miundombinu iliyokuwa wezeshi kwake

Kulihitajika kuwepo na miti ili ije imsapoti kufikia lengo la yeye kuishi kwa raha duniani, kulihitajika kuwepo maji, kuwepo jua, kuwepo aridhi, kuwepo samaki n.k

Hiyo yoote ni miundombinu wezeshi kwa mwanadamu

Na huo ndio mwelekeo sahihi na kichocheo cha kuendelea (Maendeleo)
.
JPM yule alikuwa akili kubwa!

Huyo jamaa mwisrael na wote wanaomuunga mkono ni wajinga tupu!

Hatuwezi kuwa na Elimu bora bila ya kuwepo miundombinu bora wezeshi

Kwa maana nyingine ni kwamba, Miundombinu ndiyo maendeleo ya Kweli
 
Si kila mwisrael aaminiwe kwa kila aongeacho hata kama ni utumbo, Waisrael wengine ni weupe tupu kushinda hata wabongo wa bonyokwa

Huyo jamaa yako kaongea pumba tupu

Maendeleo ili yaje, yanahitaji kiwezeshi cha kutafikia

Mfano mzuri ni namna Mungu alivyoanza kuumba ili kuja kumweka mwanadamu aishi kwenye miundombinu iliyokuwa wezeshi kwake

Kulihitajika kuwepo na miti ili ije imsapoti kufikia lengo la yeye kuishi kwa raha duniani, kulihitajika kuwepo maji, kuwepo jua, kuwepo aridhi, kuwepo samaki n.k

Hiyo yoote ni miundombinu wezeshi kwa mwanadamu

Na huo ndio mwelekeo sahihi na kichocheo cha kuendelea (Maendeleo)
.
JPM yule alikuwa akili kubwa!

Huyo jamaa mwisrael na wote wanaomuunga mkono ni wajinga tupu!

Hatuwezi kuwa na Elimu bora bila ya kuwepo miundombinu bora wezeshi

Kwa maana nyingine ni kwamba, Miundombinu ndiyo maendeleo ya Kweli
Umesoma ukaelewa views tofauti ya maendeleo kulingana na karne hii na karne ya zamani au zilizopita, na nini dunia Kwa sasa inakimbia nacho, au hata hauelewi kwamba tafiti za mars kama kutakua na maisha au lah huelewi zina maana gani?
 
Nichoona hapa kuna watoto vichwa maji sana
 
Hapo kwenye elimu amenigusa. Ndio maana huwa nasema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni ili mwanao asome English Medium shule ya msingi kwa sababu hiyo elimu inayo tolewa haina thamani inayo endana na hiyo hela.
Ukiwaambia huu ukweli wanakua wakali sana. Imekua fashion tu. Mbaya zaidi wazazi wengi uwezo huo hawana ila wanajibana sana mpaka kukopa ili mtoto asome huko.
 
Back
Top Bottom