"watu duni kifikra hudhani ujenzi wa miundombinu ni maendeleo, yaani barabara, reli, madaraja, hayo sio maendeleo ni mahitaji ya eneo husika tu"
Hayo hapo juu ni maneno ya rafiki yangu mmoja kutoka moja ya nchi zilizoendelea na katika maongezi aliendelea kueleza yafuatayo.
Mtazamo wa maendeleo hutofautiana pia kulingana na mazingira, Kwa mfano nchi ili iendelee lazima iwe inauwezo wa kufanya gunduzi mbalimbali ikiwamo gunduzi za huduma ambapo zile huduma zitategemewa na kuingiza kipato cha fedha ya kigeni,
Maendeleo ni uwezo wa kuzalisha bidhaa na uweze kuwauzia wengine ili wewe upate pesa, akasema hata elimu za nchi maskini bado zinafifisha fikra na kua duni,
Niliwaza kumbe Kwa karne ya leo kusimama unasema umejenga barabara, madaraja, matundu ya vyoo kuna watu huko duniani wanakua wanakucheka bila wewe kufahamu,
Hayo hapo juu ni maneno ya rafiki yangu mmoja kutoka moja ya nchi zilizoendelea na katika maongezi aliendelea kueleza yafuatayo.
Mtazamo wa maendeleo hutofautiana pia kulingana na mazingira, Kwa mfano nchi ili iendelee lazima iwe inauwezo wa kufanya gunduzi mbalimbali ikiwamo gunduzi za huduma ambapo zile huduma zitategemewa na kuingiza kipato cha fedha ya kigeni,
Maendeleo ni uwezo wa kuzalisha bidhaa na uweze kuwauzia wengine ili wewe upate pesa, akasema hata elimu za nchi maskini bado zinafifisha fikra na kua duni,
Niliwaza kumbe Kwa karne ya leo kusimama unasema umejenga barabara, madaraja, matundu ya vyoo kuna watu huko duniani wanakua wanakucheka bila wewe kufahamu,