Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamyoa wa kwako, huyu wangu anapendanitakunyoa maana sipendi fangasi zikutese sawa mpendwa
Tatzo unaweza ukawa unamwamin na unakuta hanaga hata dalili za kuliwa lakin kumbe kuna jamaa wanamkaza
Ila kwa kizaz cha sasa ambacho mabinti kabla ya kuolewa wanakuwa na wanaume zaidi ya wawili hawa hata wakiolewa sizan kama wanaweza kuwa na mwanaume mmoja
huogopi U.T.I mie nimejari afya yako huyo anataka upate kipindupinduUtamyoa wa kwako, huyu wangu anapenda
Mavuzi yanaambukizaje UTI? Ingekuwa hivyo tungeshaambiwa na madaktari, hakuna anayeyaongeleahuogopi U.T.I mie nimejari afya yako huyo anataka upate kipindupindu
Mavuzi yanaambukizaje UTI? Ingekuwa hivyo tungeshaambiwa na madaktari, hakuna anayeyaongelea
Mi siyo mchepuko ila napenda.kuna mchepuko anapenda vuzi, Utajua hujui
Nipe connection mkuu nipate mke kama huyo.Kwanini uoe mke ambae ukisafiri unakua na mashaka nae? Oa mke ambae moyo wako utakua na amani muda wote, najua mtasema wanawake wa hivyo hakuna lkn nikuambie tu wake wa hivyo wapo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mmh hayaa😅ukiwa unatawaza hajakubwa yale majimaji yakigusa kwenye mavuzi basi U.T.I lazima upate sawa eeenhe