Hii picha ilipigwa mwaka 1937, hawa vijana wawili wa mbele ni watoto wa wapigiwa kura, kule nyuma wamesimama watoto wa wapiga kura

Hii picha ilipigwa mwaka 1937, hawa vijana wawili wa mbele ni watoto wa wapigiwa kura, kule nyuma wamesimama watoto wa wapiga kura

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1636531877002.png

Wenye hats wanaliitwa toff kids.
 
Hivi huyo mtoto wa mpiga kura aliyevaa suruali pana kama Madilu System,kaweka mikono mfukoni huku akiwaangalia watoto wa wapigiwa kura with admiration (na chuki iliyojificha), siyo Adolf Hitler kweli?

Kama ni yeye,nadhani chuki dhidi ya Wayahudi ilianzia hapo.Sura ya utotoni ya Adolf inafanana sana huyo dogo.
 
Hivi huyo mtoto wa mpiga kura aliyevaa suruali pana kama Madilu System,kaweka mikono mfukoni huku akiwaangalia watoto wa wapigiwa kura with admiration (na chuki iliyojificha), siyo Adolf Hitler kweli?

Kama ni yeye,nadhani chuki dhidi ya Wayahudi ilianzia hapo.Sura ya utotoni ya Adolf inafanana sana huyo dogo.
1937 Adolf Hitler alikua mwanaume mzima.
 
Hivi huyo mtoto wa mpiga kura aliyevaa suruali pana kama Madilu System,kaweka mikono mfukoni huku akiwaangalia watoto wa wapigiwa kura with admiration (na chuki iliyojificha), siyo Adolf Hitler kweli?

Kama ni yeye,nadhani chuki dhidi ya Wayahudi ilianzia hapo.Sura ya utotoni ya Adolf inafanana sana huyo dogo.
hahahhaaa.naskia adofo alikua kila akiomba kaz pahala wanampiga chin.akawa akipita maduka ya jews anaychekiiii
 
Back
Top Bottom