Hii Picha Itadumu kwa Miaka Mingi Sana Na Kuonyesha kuwa hakuna picha Ya bahati mbaya Inayopigwa Ikulu

Hii Picha Itadumu kwa Miaka Mingi Sana Na Kuonyesha kuwa hakuna picha Ya bahati mbaya Inayopigwa Ikulu

1997 wakati Lissu yuko anawapambania wachimbaji wa madini Nyamongo Mbowe alikuwa wapi?


Wewe bado mtoto kwenye siasa, Mbowe ndio alikuwa anamlipia Lissu gharama zote za kutetea wachimba madini, nauli ya ndege kwenda na kurudi, fedha za malazi na chakula na pocket money Mbowe ndio alikuwa akilipia kila kitu, kama hujui mambo uliza
 
Wewe bado mtoto kwenye siasa, Mbowe ndio alikuwa anamlipia Lissu gharama zote za kutetea wachimba madini, nauli ya ndege kwenda na kurudi, fedha za malazi na chakula na pocket money Mbowe ndio alikuwa akilipia kila kitu, kama hujui mambo uliza
Hawezi akaelewa huyo haya mambo maana wakati huo alikuwa mtoto mdogo sana kama kinda la ndege.
 
Hiyo picha imetengenezwa, "Photoshop". Ili kujua angalia mkao wa picha wa Wasira, Lissu, anayefuata na Mbowe: hawakuwa sehemu ya hiyo picha.
Bila shaka umeanza kufuatilia Saisa majuzi au itakuwa ilikuwa mdogo sana wakati huo au ulikuwa maporini sana huko .
 
Mama kakufikia wewe tahira, una maisha magumu na jinga pia. Anza kujiandaa mwenyezi mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe na wewe utachukuliwa hivi karibuni. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Umesamehewa dhambi zako bure kabisa
 
Kweli nimeamini jitu likiwa shabiki la ccm linakuwa kama msukule! Bichwa linakuwa limejaa mavi badala ya ubongo.
 
Rais ni mmoja tu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. ambaye ndiye amekula kiapo cha Urais
Huyo mama amekugusa hadi chumbani kwa mkeo nasikia baada ya kutangazwa kuwa mgombea urais ulifurahi mpaka nguvu za kiume zikaongezeke...
 
Kweli nimeamini jitu likiwa shabiki la ccm linakuwa kama msukule! Bichwa linakuwa limejaa mavi badala ya ubongo.
Sawa nashukuru na pole sana .Maana ukweli mchungu ni kuwa CCM haina mbadala wake hapa nchni na wala hakuna mbadala wa CCM utakaa utokee hapa Nchini. CCM itaongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimewahi elezea juu ya Picha hii siku za nyuma kidogo. leo tena nimeendelea kuiangalia picha hii na kuendelea kuitafakari zaidi na zaidi na kujikuta nikiguswa sana na Picha hiyo.

Embu Fikiria hapo. Kutoka pichani Mheshimiwa Balozi DKT Emmanueli Nchimbi Amependekezwa na kupitishwa na Rais Samia kuwa Mgombea Mwenza wake katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu wa 2025..

Lakini Pia Huyo huyo Balozi DKT Emmanueli Nchimbi ndiye katibu Mkuu wa CCM kwa sasa.

Hapo hapo ukitizama pichani unamuona Mzee Stephen Wasira.Ambaye naye Majuzi juzi ametoka kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa. Ambaye huyo Mwenyekiti Ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Ambaye ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu Watanzania hakuna picha inayopigwa kwa bahati mbaya katika Siasa na katika Dunia hii. Angalia sana picha unazopiga na kuweka mitandaoni.View attachment 3209149

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona hujabubujikwa na machozi mkuu
 
Huyo mama amekugusa hadi chumbani kwa mkeo nasikia baada ya kutangazwa kuwa mgombea urais ulifurahi mpaka nguvu za kiume zikaongezeke...
Unajidhalilisha sana na kuwa kama kubwa jinga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimewahi elezea juu ya Picha hii siku za nyuma kidogo. leo tena nimeendelea kuiangalia picha hii na kuendelea kuitafakari zaidi na zaidi na kujikuta nikiguswa sana na Picha hiyo.

Embu Fikiria hapo. Kutoka pichani Mheshimiwa Balozi DKT Emmanueli Nchimbi Amependekezwa na kupitishwa na Rais Samia kuwa Mgombea Mwenza wake katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu wa 2025..

Lakini Pia Huyo huyo Balozi DKT Emmanueli Nchimbi ndiye katibu Mkuu wa CCM kwa sasa.

Hapo hapo ukitizama pichani unamuona Mzee Stephen Wasira.Ambaye naye Majuzi juzi ametoka kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa. Ambaye huyo Mwenyekiti Ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Ambaye ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu Watanzania hakuna picha inayopigwa kwa bahati mbaya katika Siasa na katika Dunia hii. Angalia sana picha unazopiga na kuweka mitandaoni.View attachment 3209149

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Binafsi nina picha kadhaa nimepiga ikulu! Wewe hata nguo zako hazijapiga picha ikulu Huwa unasikia kwenye radio na kuiona Kwa tv! Utalamba makalio mpaka lini Lucasina
 
Mimi siyo mjinga kama wewe
20241124_103800.jpg

Kumbe huyu wa Kwanza kushoto ni wewe Kamanda.
 
Back
Top Bottom