Hii picha ya mzee baba huwa inanifikirisha sana!

Hii picha ya mzee baba huwa inanifikirisha sana!

Mke wangu alipiga makelele na kilio sana ule usiku,Nilimtuliza kwa kipigo pumbavu sana...
 
Huyu mzee sikuwahi kumpenda lakini taarifa za kifo chake usiku ule nililiaaa

Aendelee kupumzika kwa amani masikini
Hakika, same to me....nililia sana...chuki na kifo ni vitu viwili tofauti...aisee...maisha haya 🙌
 
Basi mimi sina mtazamo sawa na huyo Lissu au wewe

Mimi naumizwa na vifo vya watu nisiowapenda pia
This is very ironical😂
Unahuzunikaje na msiba WA mtu ambaye hukuwahi kumpenda akiwa hai?
Ulistahili kusherehekea
 
Sie wengine tulioneshwa kabla kuwa huyo mzee hatakuwa ma muda mrefu.
Wewe kama wewe,umesha onyeshwa kua utakua na muda gani?

Yani mkisha anza kujiita haya majina ya NABII MTARAJIWA hua mnajiona kama vile miungu watu,halafu nyie hua hamuonyeshwi mambo mema? kila siku utasikia itatokea ajali,mara kuna kiongozi atakufa!
 
....... ni npe, mwiulu na NJanuary ...........

"Na sauti zao tumezirekodi mkuu"
 
Back
Top Bottom