Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Na wewe sio mungu, utulieHaitawezekana, Mungu siyo fala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe sio mungu, utulieHaitawezekana, Mungu siyo fala
Mungu sio mwanadamuHaitawezekana, Mungu siyo fala
Sasa ulilia nini nanhukumpendaHuyu mzee sikuwahi kumpenda lakini taarifa za kifo chake usiku ule nililiaaa
Aendelee kupumzika kwa amani masikini
Na mimi nimeshangaa hapa, inaonenakana alimchukia bila kuwa na sababu maskini😔Sasa ulilia nini nanhukumpenda
Comrade I feel like you got a special soul & heart.Basi mimi sina mtazamo sawa na huyo Lissu au wewe
Mimi naumizwa na vifo vya watu nisiowapenda pia
Ile ngoma ya Pajama Au ingineSio kwamba alikuwa anamtazama makamu wake
Hata Kama comrade Joanah bado ana kaa kwao, Kumbuka tuna uhuru wa kimaamuzi na kinachaguzi.Na wewe bado unaishi kwenu kama snopi
Lakini makatazo yake yameandikwa kila mahaliMungu sio mwanadamu
SawaBasi mimi sina mtazamo sawa na huyo Lissu au wewe
Mimi naumizwa na vifo vya watu nisiowapenda pia
Hakika, same to me....nililia sana...chuki na kifo ni vitu viwili tofauti...aisee...maisha haya 🙌Huyu mzee sikuwahi kumpenda lakini taarifa za kifo chake usiku ule nililiaaa
Aendelee kupumzika kwa amani masikini
Mzilankende, Jiwe, Chuma, Hii Bhaghosha, Ngosha, Chapa Ng ',ombeAlafu huyo aliyekuwa anamsikiliza aliyekunja viganja sijui alikuwa anamletea umbeya gani? 😏
View attachment 3215788
This is very ironical😂Basi mimi sina mtazamo sawa na huyo Lissu au wewe
Mimi naumizwa na vifo vya watu nisiowapenda pia
Ndio ili ufurahi moyo wako si humpendi!Kwani mkuu ukiwa humpendi mtu ndo unatakiwa kufurahi akifa?
Kabisa 😓Hakika, same to me....nililia sana...chuki na kifo ni vitu viwili tofauti...aisee...maisha haya 🙌
Hukumpenda yeye kama yeye au hukupenda uongozi wake?Huyu mzee sikuwahi kumpenda lakini taarifa za kifo chake usiku ule nililiaaa
Aendelee kupumzika kwa amani masikini
Hukumpenda yeye kama yeye au hukupenda uongozi wake?
Wewe kama wewe,umesha onyeshwa kua utakua na muda gani?Sie wengine tulioneshwa kabla kuwa huyo mzee hatakuwa ma muda mrefu.
Wakati unalia hukupiga kapicha unirushie kwa ile namba yangu nikupe pole?Uongozi wake