Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Jamani mnisaidiye kiongozi mkuu wa act ninini hasa,?mi ninavyoelewa cheo cha juu ktk chama ni m\kiti safu inashuka.
Ni kama kiongozi Mkuu wa Taifa la Iran wakati pia kuna Rais wa Iran!
 
Acha wivu tu na uoga umekujaa.

Kombora limesharushwa, sijui ni bomu gani la kulitengua?
 
Walewale tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wamedhamilia mamlaka kamili,hilo unlike liona kwa malengo yao hakuna tatizo
 
Nani amesema kuna tatizo kwenye safu ya uongozi wa ACT-Wazalendo? Kama unadhani kuna tatizo basi wewe ndiye uliyeona kuna tatizo!

Yaani viongozi wa juu wa chama cha upinzani wajipe vyeo vya juu ndani ya chama chao halafu ilaumiwe CCM!

Halafu unatakiwa uelewe kuwa sio kila anayekosoa upinzani ni ''mwanachama dola'' kama unavyotaka kuaminisha wasomaji wa maoni yako!
 
Hawa wanatakiwa kuruhusiwa kufanya mikutano wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani,utakuta makao makuu ya chama kila mtu yupo likizo ya mfungo,hii ni safu ya udini.Maalim kauleta UCUF?Udini ACT
 
Duh!
Mkuu umenifanya nicheke! Eti kupewa dola labda kwenda kuibadirisha kwenye maduka ya kubadirisha pesa!

Haya bana!
 
No mpaka kipige swalaa kwanza ndo kikao kianze
 
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Ndio.

Cha ajabu ni kipi hapo kama sio kutafuta shari tu.

Maana yake ni kwamba ACT imejiimarisha zaidi visiwani, na huko ndiko wamewekeza nguvu zao kuchukua serikali.
 

Nashukuru kwa kuleta orodha ya viongozi wa juu wa CCM!
 
Hakuna kuangalia idikati za dini zetu kwanza kabla ya kupewa hizi nafasi ? Maana naona mzani haujawa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…