Hii sasa dharau, yaani mimi wa kunialika mahafali ya mtoto wa chekechea? Kweli?

Hii sasa dharau, yaani mimi wa kunialika mahafali ya mtoto wa chekechea? Kweli?

Mtoto WA chekechea jman anajua NN huo ni uharibifu Wa pesa na nimtokeo ya akina mama wakina Baba huwa hawahudhulii ujinga huo
 
Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!

Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!

Nimekasirika kweli!
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!

Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!

Nimekasirika kweli!
Ukiona starehe ya mwenzio ya mwenzio inakuumiza ujuwe kuna tatizo sehemu
 
Mda mwengine tujifunze kuthamini furaha za wenzetu. Kuna watu wako hivi.

Let’s say Ni jirani, unaweza kusema usimualike labda hapendi shughuli za watoto napo atasema huyu anatutafuta kipindi cha misiba tu kwenye raha walaa.

Mwengine huyo ni mtoto wake wa kwanza tena ukute kampata kwa shida. Acha afurahie kama amekukwaza msamehe. Hata wewe una vitu vyako unavipenda watu wanakuona wa ajabu.

Nimejifunza kumbe bado sijajua kuishi na watu😂 binadamu sijui hata umshirikishe nini aridhike😂 sasa akiwa na birthday utaalikika kweli?

Alafu kingine. Yeye amemfanyia mwanae mahafali ili kum encourage kwamba kila hatua ikipita tutakupongeza. Wanadamu mna roho gani.
 
Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!

Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!

Nimekasirika kweli!
Hii kwangu mimi ingekuwa heshima kubwa sana maana watoto ni malaika
 
Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!

Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!

Nimekasirika kweli!
Huwezi jua ndio ukawa sherehe yake kwanza na mwisho.....maisha yanaenda mbio...zama hizi nenda tu mfanyie kama ni wako au mjukuu..
 
Back
Top Bottom