Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mnafanya nini hadi watu wanawadharau hivyo?Siku mm nilialikwa birthday ya toto dogo hata lijuwi nn kinaendelea ila Eti na ratiba imewekwa kabisa kama sherehe ya harusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafanya nini hadi watu wanawadharau hivyo?Siku mm nilialikwa birthday ya toto dogo hata lijuwi nn kinaendelea ila Eti na ratiba imewekwa kabisa kama sherehe ya harusi.
Sherehe tena harusi ya kaka yako unaita upumbavu? Nyie ni aina ya watu mnajifanya wagumu mwisho wa siku mnaanza kuulizia vipi hamjaja na nyama uko!juice je??Mimi kwangu sherehe ni upumbavu kwani HATA HARUSI YA KAKA YANGU WA DAMU SIKWENDA leo naambiwa mchango wa get together kazini nikitoa waniite mbwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu baadaye wanaanza kucheza na kusaula nguo ha ha haMnafanya nini hadi watu wanawadharau hivyo?
Pata pesa tukujuwe tabia yako! Kuna wengine wanafanyia sherehe za kuzaliwa hadi Mbwa wao!!Siku mm nilialikwa birthday ya toto dogo hata lijuwi nn kinaendelea ila Eti na ratiba imewekwa kabisa kama sherehe ya harusi.
Na Mwanaume ukiwa mzembe ndiyo atakupelekesha Kama gari bovu! Wanawake Mungu anawaona lakini!!Wanawake wanapenda mashindano sana yaani kitu akifanya mwenzake na yeye lazima aige.
Kuna mwingine kafanya birthday yake katumia milion 2, juzi anaomba nimkopeshe hela , nilimchora tu nikamwambia hela yangu ina matumizi muhimuPata pesa tukujuwe tabia yako! Kuna wengine wanafanyia sherehe za kuzaliwa hadi Mbwa wao!!
🤣🤣🤣🤣🤣Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Ukiona starehe ya mwenzio ya mwenzio inakuumiza ujuwe kuna tatizo sehemuYamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Mkuu kwani huyo kiumbe hahitaji uponyaji?😂️😂️😂️😂️😂️Afadhali wewe umealikwa kwenye Graduation ya Chekechea. Eliona Kimaro Mchungaji wa KKKT KIJITONYAMA alialikwa kumuombea mbwa apokee uponyaji
Ndio wa kumuita mchungaji kweli wakati zahanati za mifugo ziko kibao?Mkuu kwani huyo kiumbe hahitaji uponyaji?😂️😂️😂️😂️😂️
😂️😂️😂️😂️😂️ Labda alipatwa na nguvu za gizaNdio wa kumuita mchungaji kweli wakati zahanati za mifugo ziko kibao?
Hii kwangu mimi ingekuwa heshima kubwa sana maana watoto ni malaikaYamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Level yao hiyo..!!! Unataka wa la saba B naye asifanye sherehe ya graduation kisa hajui calculus?Hao watoto hawajui hata vitetandawil ,et Wana graduate [emoji3][emoji3][emoji848]
Huwezi jua ndio ukawa sherehe yake kwanza na mwisho.....maisha yanaenda mbio...zama hizi nenda tu mfanyie kama ni wako au mjukuu..Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea! Pumbavu!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Binafsi sipendi masherehe, toka nimejitambua nimehudhuria harusi moja tu, nafikiri hata harusi yangu sikuhudhiria niliwaambia naumwaMimi kwangu sherehe ni upumbavu kwani HATA HARUSI YA KAKA YANGU WA DAMU SIKWENDA leo naambiwa mchango wa get together kazini nikitoa waniite mbwa