Wanataka uende na zawadiKama kuna kipunga mi natimba kiroho safi, nafinya wali nasepa zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka uende na zawadiKama kuna kipunga mi natimba kiroho safi, nafinya wali nasepa zangu.
Si angeniambia hata mie nimletee Dr wa mifugo ningefanya hata kazi ya kumbebea dawa nikapata hata ya maji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio wa kumuita mchungaji kweli wakati zahanati za mifugo ziko kibao?
Huyu bwana NIMEONA aseme tu kama hana hela, na hasira za kukosa hela anajidai zimetokana na kualikwa kwenye sherehe ya mwanachekechea kumaliza uchekechea wake..!! Hivi ingekuwa yanafanyika hayo, si tungekuwa wote tunasubiria ile degree ya mwisho ndo tufanye sherehe..!!??? Maana kila level kuna ya juu yake ambayo ina mambo yasiyopatikana kwenye hii ya chini..!!Huwezi jua ndio ukawa sherehe yake kwanza na mwisho.....maisha yanaenda mbio...zama hizi nenda tu mfanyie kama ni wako au mjukuu..
Chankaka mlongo..!!???Kuna watu makauzu hadi harusi zao wanatuma mwakilishi amwakilishe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tatizo mbwa tunamkubali kwenye ile style yake ya kunyanduka tu, lakini yeye tunamdharau sana wallah..!!Afadhali wewe umealikwa kwenye Graduation ya Chekechea. Eliona Kimaro Mchungaji wa KKKT KIJITONYAMA alialikwa kumuombea mbwa apokee uponyaji
Sherehe ni upotevu wA rasilimali mda na pesa tu,, hazinaga maana😁Mimi kwangu sherehe ni upumbavu kwani HATA HARUSI YA KAKA YANGU WA DAMU SIKWENDA leo naambiwa mchango wa get together kazini nikitoa waniite mbwa
Naomba link nicheke😀Afadhali wewe umealikwa kwenye Graduation ya Chekechea. Eliona Kimaro Mchungaji wa KKKT KIJITONYAMA alialikwa kumuombea mbwa apokee uponyaji
Huu ujinga ndo maana tunashindwa hata kuwa inventive,angekuwa amebuni mbinu ya kutengeneza umeme kwa kutumia matawi ya miti hapo ikulu popo ingekuwa mashiko,wtz ni hope the oppositeYamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Kuna mjeda aliefukuzwa Kazi kafanya harusi ya m26,mimi hapo nikatamani nione fuso Barabarani,ila haya maisha ya foma ya ajabu sanaSherehe ni upotevu wA rasilimali mda na pesa tu,, hazinaga maana😁
Akikupa nitag please Mrs LissuNaomba link nicheke😀
Hapo sasaHao watoto hawajui hata vitetandawil ,et Wana graduate [emoji3][emoji3][emoji848]
Dah!!!!Kuna wazaramo nimewaona jana wameshona hadi sare kisa kitoto kinagraduate nursery.
Si mbele ya jua hili aisee!😅 Kafanikishe furaha ya mtoto aiseeh
Kabisa, wanahangaikia kweli hiliJamaa yangu ameambiwa achangie mchango wa 30000 kwa ajili ya sherehe ya mtoto kamaliza chekechea.
Na wanaohangaika na huo ujinga wengi ni wanawake.
Kama vipi wawe tuKwahiyo wenzio wanaoshiriki ni tumbili?