Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Mfuatilie vizuri utamuelewa tu. Inaonesha hujawa na imani naye. Propaganda nyingi zilifanywa na mwendazake na kundi lake kuwaaminisha watu wasiofuatilia mambo kwamba Lissu siyo mzalendo. Hizo zama zimeshapita, tufuatilie hoja zinazotolewa na tujaji wenyewe.
Basi sawa N'gwale!!
 
..Lissu ametetea WANANCHI dhidi ya serikali na makampuni ya madini.

..harakati hizo ndizo zilizomtia ktk matatizo na serikali za Mkapa, Kikwete, Magufuli, pamoja na makampuni ya madini.

..kwenye " mgogoro " wa Barrick / Accacia na Magufuli, na uwasilishaji wa ripoti za uchunguzi, Lissu alitetea UKWELI.


..Mtu yeyote aliyeshughulisha akili zake asingeshindwa kuona kwamba ripoti na taarifa za serikali zilijaa UPOTOSHAJI /PROPAGANDA.

..Lissu alionya kwamba taarifa zile sio za kweli na tukichukua hatua kwa kuzifuata NCHI itaingia gharama kubwa kwa kushindwa kesi.

..UKWELI umeanza kujulikana kwa jinsi serikali inavyoshindwa kesi moja baada ya nyingine.


..Watu kama Prof.Mruma, ambao Magufuli aliwaamini mpaka akawapa vyeti vya utendaji wa kizalendo, wamekwenda mbele ya mahakama za kimataifa na kushindwa kutetea nchi.

..Kwenye kutetea rasilimali ni wachache ambao mchango wao unajulikana na WANANCHI / WENYEJI wa maeneo husika.

..Wenyeji wa maeneo ya Bulyankulu, Nzega, Geita, North Mara, wanamtambua Lissu kama mtetezi wao. Hahitaji kujisafisha machoni mwa jamii hizo.
Uko sawa,

Nakumbuka aliwahi kupigwa na kuchaniwa gwanda Nyamongo alipokuwa akitetea wananchi dhidi ya Barrick.

Namuongezea credit!!
 
Mazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali imekuwa ya tofauti.

Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
Hili sio geni kwake usijifanye kujisahaulisha katika uchaguzi wa mwaka 2020 zile nyomi mlizokuwa mnatuonyesha wakimshangilia huyu jamaa.

Ila kilichotokea kwenye masanduku ya kura sasa ndipo utofauti unaotenganisha kati ya hiko Chama chenu na hiki Chama tawala
 
Ukwendreeee huko usinichagulie cha kuandika ati la 3b nyooolooo na wewe umesoma mpaka wapi?

Hata hiyo la 3b sijaisoma tuseme wewe ndo umesoma mpaka nyuma ya ubao.......bureeeee.

Afu dogo uwe na adabu ukitaja jina JPM ujiheshimu dogo.
Wapo watu wa kitajwa kwa heshima lakini siyo Jiwe
 
Mazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali imekuwa ya tofauti.

Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
anashangiliwa au anazomewa nyie yaani hata hamjielewi mnakurupuka tu
 
Watanzania Huwa wanashangilia mambo yote,usiwaamini sana
Umemsahau Mzee wa "ndungaiiiiiiiiiii!utabaki mawinguni" nae walimshangilia,,,,kwa kifupi kushangilia Tz ni njia ya kutoa stress
 
Back
Top Bottom