Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Mzee baba inaonekana huna elimu sana ya sanaa ya utongozaji...

Mwanamke ili afahamu kuwa upo interested naye, si lazima umtamkie maneno "nakupenda, nakuhitaji au nimevutiwa nawe"...

Hayo maneno niliyoyaweka kwa rangi nyekundu, yanatosha kabisa kumwaminisha mwanamke kwamba unataka kuwa naye...

Umemkaribisha ghetto - Jinsi alivyotafsiri mwanamke ni kuwa unahitaji faragha naye na ghetto ni eneo salama.

Umemkaribisha kupika - Jinsi alivyotafsiri ni kwamba upo single, maana hakuna akupikiaye ila wewe.

Kwa nini kakuomba kitu cha ten, kama hana tabia za udangaji maana yake anataka kujua kama unajali na hauna mkono birika...

Ni uamuzi wako sasa kusuka au kunyoa maana wewe ndiye uliyemchokoza mwanzo kabisa...
inaonekana na ww mbinguni huendii😂😂
 
Safi kabisa mkuu mi kuna dem nilimuelewa juzI kati tu akaanza kunipiga vizinga mara kodi mara cm mbovu mara nilipie king'amuzi nikampandia hewani nkamwambia tuufute huu mpango coz umeanza kuniomba ela mapema mno mpaka nishakuchoka
Ukijumlisha hizo gharama zote bora uingie zako telegram, badoo au tinder unajichagulia malaya pisi kali kuliko huyo unapiga naye one night stand unaenjoy mautundu ya kila aina
 
Yaliyomo humo ndani ni shida, watu wanaishi kwa lengo la kulea watoto tu huku wanasindikiza siku.

Furaha, Amani na upendo vyote vimeyeyuka. Kwahiyo hapo mtu anatoka kuvitafuta.

Tena ukutane na Kigori Mmoja mtundu 🙈 hapo mtu anajiweka miaka ila sharti huyo binti ajue kutulia na asiwe na mambo mengi tu
Hali inasikitisha sana aise..

Wewe unatoka kutafuta furaha na yeye anatoka kuitafuta furaha yake 💔💔very Sad.

Mambo haya hayanaga utaratibu Woi
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Hili nalo ni la kuleta jukwaani kweli? Ninyi vijana mliobalehe juzi taabu kwelikweli.
 
Lazima ujitafari wewe kwanza mkuu, jiulize kabla yako alikua analipiwa na nani hizo huduma hadi akubebeshe wewe mizigo isiyokuhusu? Ukipata jibu unajichenga bila hivyo utaishia kupigwa kabari hadi akili ikukae sawa,
Kaka mi nashukuru Mungu huwa siongozwi na kichwa cha chini maisha na malengo yangu ni muhimu zaidi huyo mwanamke awezi kukupenda usipokuwa na pesa so tutafute pesa tuweke maisha vzr
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
10k tu tafta hela mkuu
 
Ni dhahiri kwamba huyo mwanamke bado amekukaa kichwani mwako mpaka umeamua kuja kumfungulia Uzi.
Cha kufanya tafuta hiyo elfu kumi Kisha mpigie Simu aje ghetto kuuchukia.Then kuanzia hapo utajiongeza mwenyewe.
 
Unaambiwa firisika uijue tabia yake, mwanamke tabia yake hujionyesha wazi kwa mwanaume asie na pesa (aliefirisika), ukiwa na pesa kuna tabia hua anazificha kwanza anaangalia na kuupima upepo wako unaelekea wapi, au nasema uongo?
Kweli mkuu mi kuna mchaga flani kanipiga chini coz aliniomba 300k aongezee mtaji wake afungue saloon nikamwambia saiz sina pesa aisee alilalamika akaniambia yani wewe kila siku huna ela akakata cm baada ya hapo sijawahi ona cm yake huu mwez wa pili sasa
 
Sisi wabongo kwenye hili tuna fail sana hatuna hata date mnatoka na kujuana kwanza je mnaendana au kuna matamanio tu ya kutest mitambo. Ndio maana na mwanamke anaanza kabisa kuchukua chake ili ukipata chako usipopenda kisha beba stahili zake ila wewe utegemee aje tu pwaaa halafu....
 
Back
Top Bottom