Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Zipo wewe njoo nikushughulikieHakikisha upo na condom maeneo hayo mkuu sitaki uanze tena shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo wewe njoo nikushughulikieHakikisha upo na condom maeneo hayo mkuu sitaki uanze tena shida.
Shilling 0.00 hio ndio pesa ndogoPesa ndogo ipo bwana acheni mambo yenu.
Tatzo mmeshakuwa na utapeli mwingiWanaume mnalalamika Jamani [emoji2961]
Kumbe ulitaka kupiga na kusepa [emoji2] alishtukia mchezo akaona ajiongeze mapema.Hapana, bahati nzuri sana mimi nilikuwa sija-fall in love kwa huyu mdada, nlikuwa nataka nifanye naye ngono tu, then nimwache, ningekuwa nampenda aisee, sahiv rohoni ningekuwa nimejaa simanzi zito. Kelsea
Hapo shida sio elfu kumi,shida ni afutatu.Elfu 10 tuu? toa "Hera" hiyo uchakate mbususu wewe
Hahaa yeye kunishtukia kuwa mm nataka kupiga na kusepa, hiyo sio sababu, kama ingekuwa Kweli mm ni type ya mwanaume anayemtaka, angeendelea na mimi ili aone mwisho wake.Kumbe ulitaka kupiga na kusepa [emoji2] alishtukia mchezo akaona ajiongeze mapema.
Yaan nachomaanisha huyo bidada hajakuelewa wala nini ndio sababu hata kukuomba hela mapema hajaona aibu. Mwenzako kajiongeza mapema kaomba hela wewe umeshtuka umekaza na yeye papuchi atakukazia niamini mimi [emoji23]Hahaa yeye kunishtukia kuwa mm nataka kupiga na kusepa, hiyo sio sababu, kama ingekuwa Kweli mm ni type ya mwanaume anayemtaka, angeendelea na mimi ili aone mwisho wake.
Sijazaliwa jana, few years ago kuna mdada nlivomtongoza aliniambiaga eti anavoniona mm, akinikubalia nitamla hlfu nitasepa, wakati Mm najua kabisa yeye anagawa papuchi kwa kidume mwingine, kichwani nkajisemea nina mwonekano wa kiboya, ila mm sio boya.. Kelsea
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Yeah ni kweli, Mungu asaidie tuweze kulea vitoto vyetu pamoja hadi tuzeekeWatoto wanabaki na kumbukumbu mbaya isiyofutika💔💔
Nikuchoose wisely hakuna namna 😃
Kukoseana,kusameheana na kufichiana madhaifu…kikubwa zaidi kuombeana.Mungu huonekana katikati ya magumu mengi.Yeah ni kweli, Mungu asaidie tuweze kulea vitoto vyetu pamoja hadi tuzeeke
Ni kweli, hasa michepuko ikikuona una vimali mali ndiyo balaa.Kukoseana,kusameheana na kufichiana madhaifu…kikubwa zaidi kuombeana.Mungu huonekana katikati ya magumu mengi.
Michepuko mingine nuksi sana
Mali sio shida unaweza kuwa nayo na usimpatie..changamoto ni kuruhusu kuingiza upenyo kwenye familia 😂😂Ni kweli, hasa michepuko ikikuona una vimali mali ndiyo balaa.
kwa sura hiyo na hela huna atakupenda nani ???Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Mzee mwenzangu,elfu kumi tu inakutoa nduki?,Hiyo ungeweza tu kumpa hata km huna time nae.Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh