Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Rafik, wewe ulikua na mpango nae wowote?

Hapana, bahati nzuri sana mimi nilikuwa sija-fall in love kwa huyu mdada, nlikuwa nataka nifanye naye ngono tu, then nimwache, ningekuwa nampenda aisee, sahiv rohoni ningekuwa nimejaa simanzi zito. Kelsea
 
Hapana, bahati nzuri sana mimi nilikuwa sija-fall in love kwa huyu mdada, nlikuwa nataka nifanye naye ngono tu, then nimwache, ningekuwa nampenda aisee, sahiv rohoni ningekuwa nimejaa simanzi zito. Kelsea
Kumbe ulitaka kupiga na kusepa [emoji2] alishtukia mchezo akaona ajiongeze mapema.
 
Kumbe ulitaka kupiga na kusepa [emoji2] alishtukia mchezo akaona ajiongeze mapema.
Hahaa yeye kunishtukia kuwa mm nataka kupiga na kusepa, hiyo sio sababu, kama ingekuwa Kweli mm ni type ya mwanaume anayemtaka, angeendelea na mimi ili aone mwisho wake.

Sijazaliwa jana, few years ago kuna mdada nlivomtongoza aliniambiaga eti anavoniona mm, akinikubalia nitamla hlfu nitasepa, wakati Mm najua kabisa yeye anagawa papuchi kwa kidume mwingine, kichwani nkajisemea nina mwonekano wa kiboya, ila mm sio boya.. Kelsea
 
Hahaa yeye kunishtukia kuwa mm nataka kupiga na kusepa, hiyo sio sababu, kama ingekuwa Kweli mm ni type ya mwanaume anayemtaka, angeendelea na mimi ili aone mwisho wake.

Sijazaliwa jana, few years ago kuna mdada nlivomtongoza aliniambiaga eti anavoniona mm, akinikubalia nitamla hlfu nitasepa, wakati Mm najua kabisa yeye anagawa papuchi kwa kidume mwingine, kichwani nkajisemea nina mwonekano wa kiboya, ila mm sio boya.. Kelsea
Yaan nachomaanisha huyo bidada hajakuelewa wala nini ndio sababu hata kukuomba hela mapema hajaona aibu. Mwenzako kajiongeza mapema kaomba hela wewe umeshtuka umekaza na yeye papuchi atakukazia niamini mimi [emoji23]
 
Wanaume wa miaka hii ndo sampuli hizi 😂😂😂😂😂
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
 
Yeah ni kweli, Mungu asaidie tuweze kulea vitoto vyetu pamoja hadi tuzeeke
Kukoseana,kusameheana na kufichiana madhaifu…kikubwa zaidi kuombeana.Mungu huonekana katikati ya magumu mengi.

Michepuko mingine nuksi sana
 
Kukoseana,kusameheana na kufichiana madhaifu…kikubwa zaidi kuombeana.Mungu huonekana katikati ya magumu mengi.

Michepuko mingine nuksi sana
Ni kweli, hasa michepuko ikikuona una vimali mali ndiyo balaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unakimbia mwanamke kwaajili ya elfu 10. Mungu waepushe mabinti zetu wasije kukutana na watu wa aina yako.
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
kwa sura hiyo na hela huna atakupenda nani ???
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Mzee mwenzangu,elfu kumi tu inakutoa nduki?,Hiyo ungeweza tu kumpa hata km huna time nae.
 
Back
Top Bottom