Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Mara nyingi ukikutana na married Men wengi hutaka Utulivu na Mapenzi tu.

Tena mwingine anakwambia kabisa, sitaki Tuzae, kama watoto ninao tayari so hapo wewe ni kuhakikisha unampa penzi na Utulivu huku mnainjoi maisha pamoja.

Siku ukipata wa kukuoa na gharama za harusi anakuchangia 💪
Ndoa hizi jamani 🥹🥹

hili nimeliona mara nyingi.ni kweli
 
Alfu kumi unaiona ndogo wenzako alfu tatu tu wanapaza sauti hadi mishipa ya shingo inawatoka na wengine wanamwaga uchozi kisa alafu tatu tu nini alfu kumi, jichunguze mkuu
Huyo anaongea upuuzi gani mkuu mimi juzi kuna dem aliniomba elfu2 niliumia sana mpaka nikaja kumuandikia uzi humu
 
Huyo anaongea upuuzi gani mkuu mimi juzi kuna dem aliniomba elfu2 niliumia sana mpaka nikaja kumuandikia uzi humu
Aschukulie kawaida hakuna pesa ndogo, hata mia ina thamani ndio maana bila mia hakuna alfu 10 itakua alafu 9 na mia 9,
 
Ndoa hizi jamani 🥹🥹

hili nimeliona mara nyingi.ni kweli
Yaliyomo humo ndani ni shida, watu wanaishi kwa lengo la kulea watoto tu huku wanasindikiza siku.

Furaha, Amani na upendo vyote vimeyeyuka. Kwahiyo hapo mtu anatoka kuvitafuta.

Tena ukutane na Kigori Mmoja mtundu 🙈 hapo mtu anajiweka miaka ila sharti huyo binti ajue kutulia na asiwe na mambo mengi tu
 
Safi kabisa na saiz wanawake wamekuwa na njaa sana usipokuwa makini unafilisika
Lazima utumie kichwa chako vizuri namaanisha kichwa kinachokuwezesha kufikiri na kuchanganua mambo kwa ufasaha sio kichwa cha kujistarehesha dakika 10 au 20 au 30 alafu unabakia empty unanuka madeni,
 
Jaribu kutengeneza moments asizozisahau..mpeleke wine cellar akachague wine,mpendekezee wine kadhaa…mpe kipaumbele kwenye menulist…chekeni chekeni kidogo..tengeneza mazingira fulani ili usiku akienda kulala akuwaze 😅😅kama Uko na malengo nae hii ni nzuri
Hahaa hapo sawa kama uko na malengo naye. Katika gharama ambazo haziumizi ni zile za kuspend na mwanamke ambaye una malengo naye unampenda kikweli na yeye akawa amekuelewa
 
Lazima utumie kichwa chako vizuri namaanisha kichwa kinachokuwezesha kufikiri na kuchanganua mambo kwa ufasaha sio kichwa cha kujistarehesha dakika 10 au 20 au 30 alafu unabakia empty unanuka madeni,
Safi kabisa mkuu mi kuna dem nilimuelewa juzI kati tu akaanza kunipiga vizinga mara kodi mara cm mbovu mara nilipie king'amuzi nikampandia hewani nkamwambia tuufute huu mpango coz umeanza kuniomba ela mapema mno mpaka nishakuchoka
 
Safi kabisa mkuu mi kuna dem nilimuelewa juzI kati tu akaanza kunipiga vizinga mara kodi mara cm mbovu mara nilipie king'amuzi nikampandia hewani nkamwambia tuufute huu mpango coz umeanza kuniomba ela mapema mno mpaka nishakuchoka
Lazima ujitafari wewe kwanza mkuu, jiulize kabla yako alikua analipiwa na nani hizo huduma hadi akubebeshe wewe mizigo isiyokuhusu? Ukipata jibu unajichenga bila hivyo utaishia kupigwa kabari hadi akili ikukae sawa,
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
fala umeuza mechi
 
Back
Top Bottom