Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Akikuchelewesha mpige wine mlambe 🤣Mi kupigwa vizinga sikatai natoa kwa moyo mkunjufu ila nisichopenda kucheleweshwa kupewa kipochi manyoya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikuchelewesha mpige wine mlambe 🤣Mi kupigwa vizinga sikatai natoa kwa moyo mkunjufu ila nisichopenda kucheleweshwa kupewa kipochi manyoya
Hiyo elfu 10 sio ela acheni dharauKwa hiyo elfu kumi tu??
Bora umekuwa mkweli😘😘Hahaha hao kumbukumbu yao huwa haifutikagi akilini siku zote miaka buku. Wale wa kifo cha mende ubunifu 0+ kwa bed ndo huwa tunajutia sana
[emoji1787][emoji1787][emoji106]Hiyo biashara ikianza kuleta faida usiache kuninunulia zawadi ya miwani huko Mjini [emoji2957]
Hapana, atanitoa tu lunchMtu anaenda kuumizwa huko 😂😂😂
ImagineKweli alfu kumi ni hela ya kuifungulia thread?
Majaribu ni mtaji😆Mi kupigwa vizinga sikatai natoa kwa moyo mkunjufu ila nisichopenda kucheleweshwa kupewa kipochi manyoya
Vijana ambao hawajaoa wengi unakuta vipato vyao bado havijawa stable.Huo ndio ukweli.unafiki haujawahi kuwa mzuri
Yeah akibana sana namtoa outing akila na kunywa sijui wine au savannah hapo ni kutafuta lodge ya kupumzika na kusuuza runguAkikuchelewesha mpige wine mlambe 🤣
Huu ni ukweli kabisa..Ila kuna wengine sasa😀😀Vijana ambao hawajaoa wengi unakuta vipato vyao bado havijawa stable.
Pia married men wengi ni matured kichwani tofauti na ambao hawajaoa, you can sit with him discussing some future together
Consultancy services hulipiwa ila hapa nimekupa Bure, ukija ofisini kwangu lazima uchajiwe elfu 50 ya kuja kuniona 🤗[emoji1787][emoji1787][emoji106]
Wengine wanafanyaje?Huu ni ukweli kabisa..Ila kuna wengine sasa😀😀
Usimpe savanna😃😃mpatie wine or bubbly wine 😃😃Yeah akibana sana namtoa outing akila na kunywa sijui wine au savannah hapo ni kutafuta lodge ya kupumzika na kusuuza rungu
Ahsante rafiki [emoji2957]Consultancy services hulipiwa ila hapa nimekupa Bure, ukija ofisini kwangu lazima uchajiwe elfu 50 ya kuja kuniona [emoji847]
Hawana tofauti na vijana ambao hawajaoaWengine wanafanyaje?
Ndo ufanyie kaziAhsante rafiki [emoji2957]
Mambo madogo Kama hayo wanakuja kutujazia server tu. Embu ni PM namba yako bibie uone maajabu kwenye M-PESA yako😁