Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji106]Ndo ufanyie kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Ndo ufanyie kazi
Sidhani, depends na uliyemchagua.Hawana tofauti na vijana ambao hawajaoa
🥂Ahsante rafiki [emoji2957]
🤣🤣 ndio alegee viabu vimtoke shughuli ifanyikeUsimpe savanna😃😃mpatie wine or bubbly wine 😃😃
Mimi huwa najitoa siwezagi michezo hiyo hata kama ni mbususu wacha niikose kuliko kufilisikaHuu ni mchezo wa kuwahiana 🤣🤣🤣
Kidume anataka apewe mbususu kungali mapema ili asichakazwe na vizinga huku bidada anakwepesha kumpa K ili aendelee kumpiga vizinga
Sio kwamba it depends na hivyo alivyo ndivyo hivyo hivyo..Sidhani, depends na uliyemchagua.
Married man unajipigia pande 🤪Sidhani, depends na uliyemchagua.
Jaribu kutengeneza moments asizozisahau..mpeleke wine cellar akachague wine,mpendekezee wine kadhaa…mpe kipaumbele kwenye menulist…chekeni chekeni kidogo..tengeneza mazingira fulani ili usiku akienda kulala akuwaze 😅😅kama Uko na malengo nae hii ni nzuri🤣🤣 ndio alegee viabu vimtoke shughuli ifanyike
Hivi kumbe ni married man🤣🤣jezyMarried man unajipigia pande 🤪
😂😂 he sounds like ..Hivi kumbe ni married man🤣🤣jezy
😂😂😂mwamba mjanja huyu😀😀😂😂 he sounds like ..
🤣🤣 anapakazia mate au sio😂😂😂mwamba mjanja huyu😀😀
Mara nyingi ukikutana na married Men wengi hutaka Utulivu na Mapenzi tu.Sio kwamba it depends na hivyo alivyo ndivyo hivyo hivyo..
Kwenye ndoa kunakuwaga na mambo mengi sana so labda ukikutana na mtu ambae anahitaji mtu aliyetulia basi anaweza kukufanyia chochote kilicho ndani ya uwezo wake
Uzuri kwenye database yako ukiwa nao wengi na uko nao peace unakuwa hutumii hela nyingi na usumbufu wa kupewa mbususu unapungua ukitaka mzigo. Sometimes wakiwa na nyege zao wanakuchekiMimi huwa najitoa siwezagi michezo hiyo hata kama ni mbususu wacha niikose kuliko kufilisika
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anapakazia mate au sio
Baadae iteleze tu 😆
Hapa nachagiza tu kutokana na experience niliyoipata enzi za Ujana wangu 🤗Married man unajipigia pande 🤪
Dogo toa hiyo elfu 10 haraka iwezekanavyo. Umelikoroga mwenyewe, hivyo lazima ulinywe.Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh