Hii style mpya ya kunyoa ya Ruto imekaaje?

Hii style mpya ya kunyoa ya Ruto imekaaje?

Yeah hapo kainamisha kichwa kidogo kipara kikaonekana kama na weusi hivi lakini hapo hakuna nywele kabisa
Naona Mkuu Maghayo alitaka kutupima uwezo wa kuona kama tukiwa tumeenda CCBRT kwa ajili ya vipimo vya macho 😅
 
Wanasema hata kuwa nayo hana.
Mkuu ila hiyo defimeshen verdict imenichekesha sana yani kuna emotional distress kila mshtaki kalamba 20 million usd. Sheria za defamation za marekani bana.

Ila namuonea huruma yule nigger wa tesla. Alikuwa awarded 115 m usd na jury. Tesla wakaappeal akapunguziwa 15 m usd akakataa Naye akapeal akaja kuambulia 3 m usd. Elon Musk akadai hata iyo 3 m hakustahili.

Hawa Georgians electoral commissioners nao wawe makini Rudy akiappeal.
 
Mkuu ila hiyo defimeshen verdict imenichekesha sana yani kuna emotional distress kila mshtaki kalamba 20 million usd. Sheria za defamation za marekani bana.

Ila namuonea huruma yule nigger wa tesla. Alikuwa awarded 115 m usd na jury. Tesla wakaappeal akapunguziwa 15 m usd akakataa Naye akapeal akaja kuambulia 3 m usd. Elon Musk akadai hata iyo 3 m hakustahili.

Hawa Georgians electoral commissioners nao wawe makini Rudy akiappeal.
Nilivyoona hiyo ruling nikasema tukiletewa mahakama hizi Bongo, kila mtu atakuwa bilionea in USD terms.
 
Back
Top Bottom