Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Mtoa mada alitaka kutupima uwezo wetu wa kuona, muda mrefu Ruto ananyoa DongoHii comment imenisanua nikarud kutazama picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada alitaka kutupima uwezo wetu wa kuona, muda mrefu Ruto ananyoa DongoHii comment imenisanua nikarud kutazama picha
Mkuu ila hiyo defimeshen verdict imenichekesha sana yani kuna emotional distress kila mshtaki kalamba 20 million usd. Sheria za defamation za marekani bana.Wanasema hata kuwa nayo hana.
Nilivyoona hiyo ruling nikasema tukiletewa mahakama hizi Bongo, kila mtu atakuwa bilionea in USD terms.Mkuu ila hiyo defimeshen verdict imenichekesha sana yani kuna emotional distress kila mshtaki kalamba 20 million usd. Sheria za defamation za marekani bana.
Ila namuonea huruma yule nigger wa tesla. Alikuwa awarded 115 m usd na jury. Tesla wakaappeal akapunguziwa 15 m usd akakataa Naye akapeal akaja kuambulia 3 m usd. Elon Musk akadai hata iyo 3 m hakustahili.
Hawa Georgians electoral commissioners nao wawe makini Rudy akiappeal.
HahahaNilivyoona hiyo ruling nikasema tukiletewa mahakama hizi Bongo, kila mtu atakuwa bilionea in USD terms.
Hahahaaaaa, au wakasema, in contempt of court.Unaweza kuzuiwa kuingia mahakamani kwa sababu umenyoa kinyume na maadili ya Mtanzania 🤣🤣
Si unawajua mahakimu wetu wasivyo na dogo tena?Hahahaaaaa, au wakasema, in contempt of court.
Mambo ya huku Afrika na kwa wazungu ni tofauti kabisa.Si unawajua mahakimu wetu wasivyo na dogo tena?
Na majani mengi tu achoma bila shida. Ni hustler. Nmependa ile way ya first lady wakeWatu wananyoa viduku na wanaongoza nchi kubwa duniani,mtu kunyoa kisahani Tu yameanza maneno
Mkuu punguza au acha kabisa kutumia tekno iseee..inamaan huoni km hiko ni kipara kabisa..Mzuka wanajamvi.
Itakuwa Raila anamroga jinsi alivyomroga Uhuru. Hii haircut hapana asee.
View attachment 2844086
Maghayo acha vitukoMzuka wanajamvi.
Itakuwa Raila anamroga jinsi alivyomroga Uhuru. Hii haircut hapana asee.
View attachment 2844086