Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Ilikua ya kweli
 
Ushauri wangu ni kwamba baada ya nhif kusitisha matumizi ya fomu 2C ambao ilikuwa uamuzi mzito na drastic, wangejipa muda walau kipindi cha miezi 6 ili kutathmini matokeo yake kabla ya kuibuka na mageuzi mapya haraka.
Ushauri wa pili ni kwa nhif kuweka mgumo wa kielectronic kuwawezesha madokta kutambua matumizi mabaya ya huduma zao hasa madawa. Kwa mfano mgonjwa akipewa dawa za panadol leo iwe ni rahisi kutambua iwapo kesho yake ataenda hospitali nyingine kwa tatizo linalohitaji dawa ya panadol.
Kama nhif wana kitengo cha IT ni budi wawatumie vijana wao vizuri badala ya kutuletea sera mbovu kwawagonjwa wasio na kosa.
 
Sawa kuna fraud
Ila heri mngeweka watu/task force ya ku'confirm na wagonjwa kama kweli walitumia huduma flani kuliko kunyima watu huduma

Ukiweka utaratibu wa kuconfirm kila claim or atleast on a sample basis kuendana na risk za kituo then utajua tu wapi kuna loophole afu utadeal na wahusika

Ile strategy ya msg nayo ni nzuri sana
 
Yees
Data analytics zitawaonyesha vitu flani
Mbona CAG aliona wanaume wana operation za uzazi😅
 
Imeanza lini mkuu, maana juzi nilienda dispensary nikatibiwa, sikuridhika na matibabu, Jana nikaenda Aghakan nikatibiwa fresh Tu wala hawakudoubt kama nimeshatibiwa within 24hrs
Aga Khan wanapokea NHIF standard au unatumia supplementary?
 

Kwa mtazamo wangu,
kama watu wanafanya hivyo inamaana kunatakiwa research; namaanisha kama kweli from Doct A to Doct B kuna majibu mengi yasiyo endana/yaliyokinyume, basi kuna tatizo mahala pengine kwenye vipimo nk wanatakiwa walifanyie kazi; Ila kama majibu angalau 85% yanaendana, wanachama wanahitaji kuelimishwa
 
Kwan si ilikua ukitunia kad huwez tena kpaka ipite masaa 24.
Vip kwa mfano nimetumia kadi katika hospital specialises katika dental tu? Na ndan ya muda huo nikaugua ikanibid niende katika hospital ambayo inatoa huduma za OP je italazamika kwenda hospital ya dental pekee ndan ya miez hio m3?
 
Hawana majibu
 
Bora iwe ya kughushi maana kama ni kweli tutaandamana
Hamna uwezo wa kuandamana kwani hamko hivyo tangu huko nyuma. Shukuru tu "siasa" zimeshalipoza jambo lenyewe ila kiuhalisia NHIF wataendelea nalo baada ya kimya kupita kidogo. Nchi hii ina vigego ni balaa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] acha utani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu unataka utest dialysis kila hospitali [emoji23][emoji23][emoji23] sasa hiyo ni shopping

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ni ya kifala kabisa huu upoyoyo huyu mother f ndio kauleta yani mambo yanaendea kifala kweli.
Huyu waziri ndo tatizo kila siku matamko kama chiriku yeye anajua labda kila mtu anatembezwa na VX kama yeye
 
Yani bora ummy kajitahidii... nape anaambia vifurushi vimepanda sana anasema GHARAMA ZA MAISHA LAZIMA ZIPANDE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…