NSSF lile ni fao na fao hilo limewekewa utaratibu namna ya kulipata.Mbona NSSF siku zote tuliambiwa kuchagua hospitali moja tu katika eneo unaloishi utakako tibiwa, na tuliendelea hivyo unless unakiwa referred hospitali nyingine na haijawa tatizo?
Ilikua ya kweliKama itakuwa ya kweli, kwa mtazamo wangu itakuwa na mapungufu makubwa kwani watakuwa wamejiamulia bila kuwashirikisha wadau muhimu hasa wafanyakazi ambapo ndio wanaoendesha mfuko kwa michango yao. Suala linalo husu Afya/maisha ya watu, linahitaji mjadala makini bila kuweka faida ya mapato mbele.
Ushauri wangu ni kwamba baada ya nhif kusitisha matumizi ya fomu 2C ambao ilikuwa uamuzi mzito na drastic, wangejipa muda walau kipindi cha miezi 6 ili kutathmini matokeo yake kabla ya kuibuka na mageuzi mapya haraka.TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO
Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu
Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine , kama kuna emergency kutakuwa kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee
Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu
Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee
Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari
Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.
Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.
NHIF.
YeesUshauri wangu ni kwamba baada ya nhif kusitisha matumizi ya fomu 2C ambao ilikuwa uamuzi mzito na drastic, wangejipa muda walau kipindi cha miezi 6 ili kutathmini matokeo yake kabla ya kuibuka na mageuzi mapya haraka.
Ushauri wa pili ni kwa nhif kuweka mgumo wa kielectronic kuwawezesha madokta kutambua matumizi mabaya ya huduma zao hasa madawa. Kwa mfano mgonjwa akipewa dawa za panadol leo iwe ni rahisi kutambua iwapo kesho yake ataenda hospitali nyingine kwa tatizo linalohitaji dawa ya panadol.
Kama nhif wana kitengo cha IT ni budi wawatumie vijana wao vizuri badala ya kutuletea sera mbovu kwawagonjwa wasio na kosa.
Kuna wapuuzi wameajiriwa Ili wapate BIMA YA AFYAHuu upuuzi ndo maana mi bima yangu Ni hela yangu
Aga Khan wanapokea NHIF standard au unatumia supplementary?Imeanza lini mkuu, maana juzi nilienda dispensary nikatibiwa, sikuridhika na matibabu, Jana nikaenda Aghakan nikatibiwa fresh Tu wala hawakudoubt kama nimeshatibiwa within 24hrs
Ushauri wangu ni kwamba baada ya nhif kusitisha matumizi ya fomu 2C ambao ilikuwa uamuzi mzito na drastic, wangejipa muda walau kipindi cha miezi 6 ili kutathmini matokeo yake kabla ya kuibuka na mageuzi mapya haraka.
Ushauri wa pili ni kwa nhif kuweka mgumo wa kielectronic kuwawezesha madokta kutambua matumizi mabaya ya huduma zao hasa madawa. Kwa mfano mgonjwa akipewa dawa za panadol leo iwe ni rahisi kutambua iwapo kesho yake ataenda hospitali nyingine kwa tatizo linalohitaji dawa ya panadol.
Kama nhif wana kitengo cha IT ni budi wawatumie vijana wao vizuri badala ya kutuletea sera mbovu kwawagonjwa wasio na kosa.
Hawana majibuKwan si ilikua ukitunia kad huwez tena kpaka ipite masaa 24.
Vip kwa mfano nimetumia kadi katika hospital specialises katika dental tu? Na ndan ya muda huo nikaugua ikanibid niende katika hospital ambayo inatoa huduma za OP je italazamika kwenda hospital ya dental pekee ndan ya miez hio m3?
Hamna uwezo wa kuandamana kwani hamko hivyo tangu huko nyuma. Shukuru tu "siasa" zimeshalipoza jambo lenyewe ila kiuhalisia NHIF wataendelea nalo baada ya kimya kupita kidogo. Nchi hii ina vigego ni balaa!Bora iwe ya kughushi maana kama ni kweli tutaandamana
[emoji23][emoji23][emoji23] acha utaniHuna hoja kwa kuwa leo nipo morogoro na najisikia kuumwa niitaebda hospital hapo morogoro. Baada ya wiki nikasafiri kwenda Dodoma nikajiskia kuumwa nitaenda tena hospital, baada ya wiki mbili nikaenda dar na nikajiskia kuumwa si ntaenda tena hospital?
Sio haja ya kuweka limit, kwa kuwa so far nachojua wanaotibiwa ni wachache kuliko ambao hawatibiwi. Kuna watu wana miaka minne hawajui hospitali ipoje. Huyo nae utasema arudishiwe oesa yake ya miaka minne?
Ndugu unataka utest dialysis kila hospitali [emoji23][emoji23][emoji23] sasa hiyo ni shoppingKweli wewe ni nyumbu uliolamba asali ukashiba. Fikiria kwa kichwa sio makalio. Wafikirie watu ambao wana CP na matatizo ya figo ambao wanatakiwa kwenda kuhudhuria clinic mara 3 na zaidi. Kuna hospitali zingine huduma zao ni mbaya hazikizi mahitaji utaenda hapo hapo tu? Muhimbili yenyewe rubbish huduma yake ni chini ya kiwango. Kama wewe umezikuta kwa Baba ako na Mama ako wengine atujazikuta tunafight kwa nguvu zetu.
Huyu waziri ndo tatizo kila siku matamko kama chiriku yeye anajua labda kila mtu anatembezwa na VX kama yeyeHii nchi ni ya kifala kabisa huu upoyoyo huyu mother f ndio kauleta yani mambo yanaendea kifala kweli.