Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Badala ya Kusumbua wananchi NHIF ihangaike na hizo hospitali, kwanini huduma ilele kwa cash iwe na bei tofauti na mtu anaetumia bima.
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine , kama kuna emergency kutakuwa kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
Kwahiyo ukiwa safarini Dodoma au mwanza ukiugua lazima urudi Dar? Kuiba waibe wao halafu lawama na mateso kwa wananchi![emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine , kama kuna emergency kutakuwa kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
Bima ni ponzi scheme....

Yaani ni upatu

Waliowahi wanalipwa mliochelewa ndio mnabeba hasara yote

Serikali inafeli sana aisee
 
Sasa nimeamini Tanzania ni NCHI yenye UCHUMI wa KATI na WANANCHI wake Wametoka kwenye UMASIKINI mkubwa na UNYONGE na Kuifanya TANZANIA haina tena MASIKINI wala WANYONGE.
UTHIBITISHO wa hayo ni pamoja na Wananchi kumudu Gharama mbali mbali zilizopo kwa mfano
1.TOZO mbalimbali
2.Gharama za Bidhaa mbalimbali kama Sukari Mchele Mafuta ya kula Unga n.k
3.Bei ya Petroli kupanda na Kupandisha Gharama za Usafiri na Usafirishaji Bidhaa
4.Kutokuongezwa Mishahara kwa Watumishi lakini Wanachapa kazi
5.Bei ya PEMBEJEO kuwa kubwa lakini Wakulima Wanazimudu
Nawapongeza Wananchi kutoka kwenye Unyonge na Umasikini.
CCM Oyee.
 
Back
Top Bottom