Truth sniper
Senior Member
- Jan 22, 2012
- 130
- 202
Badala ya Kusumbua wananchi NHIF ihangaike na hizo hospitali, kwanini huduma ilele kwa cash iwe na bei tofauti na mtu anaetumia bima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ukiwa safarini Dodoma au mwanza ukiugua lazima urudi Dar? Kuiba waibe wao halafu lawama na mateso kwa wananchi![emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO
Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu
Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine , kama kuna emergency kutakuwa kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee
Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu
Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee
Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari
Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.
Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.
NHIF.
🤣Yani bora ummy kajitahidii... nape anaambia vifurushi vimepanda sana anasema GHARAMA ZA MAISHA LAZIMA ZIPANDE.
Bima ni ponzi scheme....TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO
Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu
Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine , kama kuna emergency kutakuwa kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee
Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu
Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee
Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari
Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.
Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.
NHIF.
😳 Kwa lipi sijui.....mwenye hekima uishi miaka mingi....Kuna kitu alipunguka fikiria vizuriMtanikumbuka