Hii tabia acheni. Mtu anakuomba salio na Bado unamuona Yuko online muda wote. Salio la kazi gani sasa?

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Huu Ni utapeli bhna mtu ankusumbua naomba salio either vocha lkn ajabu Bado Yuko online na Yuko Muda wote Sasa salio la Kaz gani

Kuna bint kaniudh San Jana kaomba nikampoteza asbh Tena anataka nimtumie vocha na bado Yuko active Hadi HV Sasa

Nahisi huyo bint Yuko humu maana Ni member wa muda mrefu kuliko mm
 
Yaani kukuomba bando tu umeamua kuniandikia thread πŸ˜₯

Je ningekuomba chakula,?

Haya bhna ,ngoja nimtafute rafiki mwingine wa kunisaidia
 
Kukuomba salio tu umekuja mpaka huku kunibagaza??

Je ningekuomba figo ingekuwaje na unajua kabisa sina figo mimi!!

Em nipe bandoo huko nataka kupakua pilau za Twitter (TWIRRAAH).
 
Ana chura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…