Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Ni wajibu wake kupangilia matumizi yake kulingana na uwezo wake. Kuwa mwanamke sio ulemavu au justification ya kuwa ombaombaHahah we muunge gb kadhaa bana acha uduanzi wanawake mara tiktok mara insta fb mb hazikai lazima aombe za akiba
😀😀😀😀😀Yaani kukuomba bando tu umeamua kuniandikia thread 😥
Je ningekuomba chakula,?
Haya bhna ,ngoja nimtafute rafiki mwingine wa kunisaidia
Huu Ni utapeli bhna mtu ankusumbua naomba salio either vocha lkn ajabu Bado Yuko online na Yuko Muda wote Sasa salio la Kaz gani
Kuna bint kaniudh San Jana kaomba nikampoteza asbh Tena anataka nimtumie vocha na bado Yuko active Hadi HV Sasa
Nahisi huyo bint Yuko humu maana Ni member wa muda mrefu kuliko mm
😆😆Yaani kukuomba bando tu umeamua kuniandikia thread 😥
Je ningekuomba chakula,?
Haya bhna ,ngoja nimtafute rafiki mwingine wa kunisaidia
Ndio namuona muda wote online na bado anatak vocha ,niingekuta hayupo online Basi afadhaliMkuu vocha ni kitu cha kumnyima mtu
KIjanja huyo anakuomba dyudyu! Jiongeze.
Mkuu nifundishe jins gani ya ku edit I'd Nina I'd nataka kuanza kuitumia baada ya kukumbuka passwordHapana. Hiyo ni ID tu ipo kimkakati.
Mkuu si kuna Wi-fi lakin [emoji23][emoji23][emoji23]Ndio namuona muda wote online na bado anatak vocha ,niingekuta hayupo online Basi afadhali