Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

we mshamba hata Dar ni mkoa km mikoa mingine, ulifika lini huko? Hiyo inasababishwa na umaskini wa ukoo wako uliouacha nyumbani, vinginevyo hakuna mtu mwenye uwezo na uelewa wake ashobokee sehemu ya hovyo kuishi km DSM. Dar ndio inategemea kwa kila kitu huko unakokuita mikoani sasa mtu mwenye akili zake afuate nini huko, shida? We umetokea mkoa gani kwanza maana ulivyo mshamba unaona km umesgafika mbinguni. We kima usijerudi kutuandikia huu uozo
 


Kwa maneno haya ni bora hao ndugu zako wa kijijini kuliko wewe, kila la heri kijana, na kumradhi sana kukukosea.
 
Watu wa dasalama wana nongwa sana πŸ˜‚


Anatuharibia huyu, mnakaribishwa sana Dar es salaam, huyu atakuwa anakaa huko mbali na mji anaona aibu watu kufika kwake.

Dar es salaam sio mji bora hata kuishi, ni mahali tu nakuja kutafuta tu maisha, ila umri ukienda tunarudi Mbarali kupigwa baridi huko.
 
Mkeo ana tako?
 
Dada umepanic sana.... umekalia mjiti vibaya... Ndo maana huwa mnaolewa wote kwa sababu hiyo hiyo ya kushobokea watu wa mjini.
 
Nyie ndo watu JF huwa mnadai mna maisha mazuri sana humu....
 
Maisha ni yako na pesa umetafta ww usipangiwe jinsi ya kuishi
Af kuna ujinga mmjo tunapenda sana kutishana sku ukifa
Jaman km kufa kupo tu na km umetengeneza misingi mizuri ya familia yako ata ukifa wataishi vzr na kwa aman tena bira kutegemea hao ndugu uchwala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…