Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Ishu naona ni TAARIFA za mapema.

Ukitaka kwenda kusalimia au kumtembelea Ndugu hakikisha unatuma taarifa.

Ila ndugu wengi wanapanda Bus, wakiwa njiani ndio wanakwambia tunakuja.

Muda huo hujafanya any pre arrangements zozote, na bahat mbaya haupo sawa mfukoni au tyr una mgeni mwingine.
 
Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.

Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k

Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.

Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!

Kwendreni huko.
Kwa kweli mke Ni pambooo...mume wangu aliwahi washushuaa ndugu zakee kuhusu mavazi yanguu...siwezagi kuvaa matenge Mimi nikiwaa home ni mwendo wa pensi na simple dress..sasa waoo mkewwee kashindikannaaa😄😄😄😄aliwasuuzaa
 
Anatuharibia huyu, mnakaribishwa sana Dar es salaam, huyu atakuwa anakaa huko mbali na mji anaona aibu watu kufika kwake.

Dar es salaam sio mji bora hata kuishi, ni mahali tu nakuja kutafuta tu maisha, ila umri ukienda tunarudi Mbarali kupigwa baridi huko.
Atakuwa anakaa porini kweli, wale wa masaki hawanaga nongwa hizo
 
Ila kuna watu wana roho ngumu sana kuhusiana na hawa ndugu wanaokuja pasi na kutoa taarifa. Jamaa anawauliza " Je, mlisikia mimi naumwa?" "Hapana tumekukumbuka sana ndo maana tumekuja kukusalimia". "Ok, kwa vile sasa mmekuja na mmeniona nipo mzima, basi kesho asubuhi na mapema mjiandae kurudi mlikotoka".
 
Tuwe wanyenyekevu tunapopata mafaniko tusione wengine ni takataka hawafai.
Ukifa ndio watamfariji mkeo na watoto wako
Huu ujinga tu yaani nife halaf ndugu wamfariji mke na wtt uliona wapi!? Kitu pekee cha kuwafariji mke na wtt wake ni kuwaachia msingi mzuri wa miasha tu

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.

Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.

Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.

Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.

Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.

Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.




Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimia. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko, nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nilimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Kirimu wageni toka mkoa ndugu yangu acha ubahili.
 
Mimi nimewahi wakataria kaka zangu wawili ambao tunashibana sana,na wana mchangu mkubwa sana kwangu kufika hapa nilipo,mmoja anawatoto 7 na bado anazaa nikimuuliza unazaa watoto wanini ilihali hawa waliopo huwapi mahitaji muhimu!?,oooh nimlete Fulani aje asomee huko,Mimi hapana maana watoto wanaweza tugombanisha,kama ni msaada nitawasaidia wakiwa huko,maana hata huko kuna shule.

Siwezi na haitatokea,na nilishaambia ndugu zangu ,jamani tuleleane watoto ikiwa hatupo,yaani kifo,ikiwa sote tu wazima wa afya kila mmoja apambane na mzigo wake.

Nimeona kwa watu wengi sana hapa hasa walimu wenzangu wameishia kuvurugana na ndugu zao kisa watoto waliowachukua kuwalea.

Hatari saana
 
Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.

Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.

Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.

Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.

Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.

Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.




Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimia. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko, nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nilimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Ukishindwa kuwa muwazi kwa watu matokeo yake ndiyo haya. Watu wanatakiwa wakuelewe msimamo wako, unatakiwa uwaeleze kabla bila kumung'unya mung'unya maneno, waujue msimamo wako kabla hawajaanza kufanya haya yote mnayolalamikia hapa.

Usipokuwa muwazi ukawaachia, matokeo yake ndiyo haya unaanza kuja kulalama humu kwenye mitandoa. Kwanza haya maswala ni too private katika hali ya kawaida mtu hatakiwi kuyaleta humu
 
Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.

Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.

Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.

Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.

Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.

Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.




Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimia. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko, nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nilimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Jamaa una majivuno 😂, dsm tu mzee unavimba,, vipi ungeishi London?
Sifurahii tabia ya mtu kukustukiza,, ila cjapenda ulitambaa na mistari,, saidia tu upate baraka,,
 
Dah! Binadamu tunasahau mapema sana yaani mtu amesomeshwa na mjomba wake na alikuwa analala jikoni kwa mjomba ake leo Mungu amemuinua, hatak ndugu uzuri ndugu wenyewe huwa hawaji mikono mitupu wamekuja na ndizi, mchele, unga maharage kuja kusalimia wapendwa wao na kusafisha macho na kubadili mazingira kidogo, tunawaona wasumbufu, hilo la taarifa ni changamoto isifanye umzimie ndugu yako simu dah! Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom