Hii tabia Musoma inakera sana

Hii tabia Musoma inakera sana

Wewe hakuna wa kiume wa wa kike hapo. Kwenye swala la kuombana vinywaji sehemu za starehe ni ujinga sana tena hao wamezidisha "eti kumiminiana..eeeh". Hata mm sikubaliani na hao omba omba. Kuliko kukaa na kuomba omba si wakatafute hela huko[emoji849]
Wanapokuomba au Kukugongea huwa wanakulazimisha uwape au ni Hiari yako tu? Kuna Watanzania wenzetu ni Wapumbavu kuliko mnavyojijua.
 
Attention seekers mna shida sana....

Ni nchi nzima ya Tanzania ipo hivyo sababu ya umasikini uliotopea...hii kujifaragua ni Musoma tu ni namna fulani ku-undermine eneo na watu wake

Nchi nzima ni ombaomba...usibague!
Kweli hili ni tatizo la nchi nzima. Tofauti ni kuwa kila sehemu wanatumia mtindo wao. Inaelekea hiyo sehemu mtindo uliopitishwa ni huu wa kuomba kupunguziwa kinywaji. Sehemu nyingine nako kuna njia nyingine. Hata hivyo usimlamu mleta mada kwani amejaribu tu ku-share nasi aliyokutana nayo. Inawezakana kabisa hajui kuwa ni tatizo la nchi nzima.
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Alifanikiwa kumpata mkuu naomba mrejesho
 
Alifanikiwa kumpata mkuu naomba mrejesho
Aliniletea Pisi moja Kali sana ya kikurya imeenda hewani, white, nyuma imejenga mzigo wa kawaida sana ulio ktk viwango ninavyovitaka, kwenye mgegedo Pisi inazungusha nyonga balaa, kwa kifupi ni fundi sana kwenye hyo tasnia.......

Lakini.....
Lakini.....
Lakini.....

Nilimuomba namba kwa matumizi ya wakati mwingine akaniambia hana simu....!!!!

Jina lake aliniambia anaitwa Joyce, sasa sijui alinidanganya au ni jina lake kweli.
 
Wenye njaa ni watu wa jangwani pekee yake?

Natetea ujinga upi?

Mtu anatafuta hela ya kula,anaruhusiwa kufanya chochote aweze ku-survive

Mtu kaomba pombe,tatizo liko wapi?

Huyu katuambia kaombwa pombe,tunamuamini vipi?Hajaja mtu wa upande wa pili kuhakikisha,who the fvck is this nigga for me to believe anachosema?

Regardless,mtu aombe pombe asiombe,kuomba pombe ni ajabu?

Wewe umeombwa pombe,umekataa,huu us3ng3 unakuja kutuambia huku unatuhusu ni nini sisi maana sisi haituhusu

Kama wewe kuombwa kitu ni mtu kujilegeza I wonder na wewe ni mtu wa kujilegeza maana kila siku unaomba vitu...

Ni maajabu mwanadamu mwingine akiomba eti kajilegeza wakati wewe unaomba hujilegezi?

Wapvmbavu sana nyie!
Basi yaishe ndugu yangu, usiwe na hasira hvyo... January hii itaisha tu tutarudi kwenye mstari.....

By the way Leo weekend njoo Calabash na kikombe....tutakunywa bia
 
Upo baa,wamejaa alcoholics ,wewe unategemea uombwe nini ?

Mbona mnajifanya kama mmepumzisha akili zenu aisee?

Upo baa,unataka uombwe nini?

Uombwe dawa au malazi?

Upo baa unaombwa cha baa hapo hapo,ambacho ni pombe and the likes mzee!

Huyo kaomba pombe kutokana na hali yake na mazingira yake ya umasikini,wewe unaomba vitu vingine kwa waliokuzidi social ladder mara kibao tu,ila omba yako wewe ni sahihi,ila ya huyu mtu wa chini sio sahihi

Hii nchi kuna watu wanafiki mno
Wee jamaa umasikini usikufanye utetee uhalifu

A crime is a crime no matter who commits it
 
Nashindwa kuwaelewa ujue

Huyu mlevi aliyeko baa unataka aombe nini baba kama sio pombe?

Mtaka aombe malazi na dawa au shati au viatu?

Kaomba pombe kwa mlevi mwenzake mwenye hela ambae ni wewe hapo

Maana wewe hapo unaomba vitu vingine kwa wakubwa zako wa kimaisha kila siku,ila uombaji wako wewe ni sahihi ila sio huo wa huyo mlevi mwenzio?

Nikifanya mimi A ni sawa,yule akifanya A hiyo hiyo sio sawa!

Hii naona ni kujifanya mna madaraka ya kutukana walio chini yenu,wakati na nyie mna walio juu yenu mnawaombaga favour kibao kila siku

Acheni double standards nyie mamalia wenzetu!
Piga kazi mtoto wa kiume acha kulialia

The world owes you nothing
 
Wanazunguka na chombo kuomba vinywaji!!! Naona jambo la ajabu na geni kweli kwangu... sijui ni kwavile siendagi hizo sehemu (kumbi) za starehe au vipi ila sikatai maana...

Kuna katabia kanakofanania na hako tunakutana nako sana migahawani kwa mama lishe hasa hasa mikoa ya ukanda wa pwani

Wamama/wadada wanaouza vyakula wakiona umeenda mteja ambae ni kijana aisee utajuta! Maana mtu anakupimia (anakuuzia) chakula halafu anakwambia yeye ana njaa ikiwezekana umnunulie na yeye chakula

Haitoshi unamuagiza kinywaji (maana mara nyingi ukienda mgahawani basi huduma zingine nyingi kama siyo zote wanakufanikishia wao- mamalishe) basi na yeye anadai kinywaji au chenji ya kinywaji

Haishii hapo bado wakati wa kuondoka unalipia msosi anakupa chenchi lakini huku anakushawishi usamehe jero akapate maji baridi duh!!![emoji38][emoji38][emoji38]

Halafu tabia hiyo naona imeshamiri hasa kwenye migahawa yenye wahudumu zaidi ya mmoja. Unakuta mama mtu mzima (mara nyingi ndiye boss mmiliki wa biashara) halafu kunakuwa na binti au wadada na hao ndo wenye tabia ya kuomba omba sasa sijui hawalipwi vizuri na boss wao

Tena mara nyingi wanafanya hayo kimya kimya yule mama mtu mzima (boss) asisikie wala kuelewa kinachoendelea
 
Nashindwa kuwaelewa ujue

Huyu mlevi aliyeko baa unataka aombe nini baba kama sio pombe?

Mtaka aombe malazi na dawa au shati au viatu?

Kaomba pombe kwa mlevi mwenzake mwenye hela ambae ni wewe hapo

Maana wewe hapo unaomba vitu vingine kwa wakubwa zako wa kimaisha kila siku,ila uombaji wako wewe ni sahihi ila sio huo wa huyo mlevi mwenzio?

Nikifanya mimi A ni sawa,yule akifanya A hiyo hiyo sio sawa!

Hii naona ni kujifanya mna madaraka ya kutukana walio chini yenu,wakati na nyie mna walio juu yenu mnawaombaga favour kibao kila siku

Acheni double standards nyie mamalia wenzetu!
Itakuwa hili ni miongoni mwa hayo maomba omba maana naona limetokwa povu la hela yote hapa!!! Hapo hapo ingetokea wanawekewa madawa kwenye vilevi hivyo na kutekwa ungelalama hapa

Acha ujinga... umeambiwa sehemu (kumbi) za starehe, maana yake wanaokwenda wanakwenda kujiburudisha wamejipanga sasa wewe kijana umeshaini kabisa unabeba glasi mkononi kwenda kugongea pombe hapo si una matatizo wewe!!?

Halafu eti unasema ndio wote tulivyo ila utofauti ni 'vya kuomba' na 'wa kuombwa', ajabu kwelikweli.

Yaani ufananishe ninavyomuomba Mola aninyooshee njia zangu za maisha na huyo anayeomba pombe alewe akalale au akatukane watu (maana anakunywa tu bila utaratibu pombe yoyote atakayopewa yeye twende)

Au ufananishe anayeomba chakula ale apate nguvu ya kutafuta riziki na huyo anayeomba pombe alewe mpaka ashindwe kufanya kazi za uzalishaji mali

Au ufananishe ombaomba wale walemavu wanaotumikishwa na yule mama pale jijini ili wapate chakula, mavazi na malazi ya bure na huyu anayeomba pombe alewe akatambie wenzake kuwa leo kanywa za bei ghali

Hicho ni kitu ambacho hakiwezekani mzee hao wamezingua sana tu wala usitetee ujinga. Kama unataka starehe huna budi kugharamia jombaa STAREHE GHARAMA
 
Habari wana JF,

Moja kwa moja niende kwenye mada.

Kumekuwa na tabia ya ajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa Mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume.

Lakini jambo linalo nisikitisha nikua vijana hawa hasa wakiume wamekua ombaomba wakiwa kwenye kumbi hizo za starehe tena kazi yao ni kuzunguka na cup wakikufikia kwako wanasogea karibu na kukuambia uwawekee kinywaji kidogo haijalishi ni kinywaji gani unatumia yeye ili mladi aonekane anakunywa na kinachoniudhi zaidi ni pale anapokuja mmoja akikuomba ukimuwekea kidogo tu anaenda kuwaambia wenzake nao wanakuja kukuomba na ukisha mpa mmoja basi jua kuanzia siku hiyo wewe ni rafiki yake wa karibu sana kila unapokuwa unaenda akikuona tu anakufuata na kukubembeleza umnunulie kinywaji au umuwekee kidogo kwakwel hii tabia imekuwa ikinikwaza sana wanapokuona umeingia wanakuja na kuanza kukusumbua.
Mkuu wewe umeenda Musoma gani hiyo?
Miaka kadhaa iliyopita mimi nilienda klabu mitaa ya Mukendo.
Nilichoona hapo nilitoka nduki

Kulikuwa na disko na vimwana kedekede.
Ile naanza bia ya kwanza nikaona purukushani kwenye kona fulani na vijana wanagombea bibi.
Mara nikaona kijana kashika kitu kinang'ara na anampiga mgomvi wake, kumbe kisu.

Aisee..........mbio nilizotoka nazo hapo usiseme!!!
 
Wale ni watu na wanataka kula kama wengine,ni jukumu lao kujitafutia chakula hata kama nikuua wewe..



Mkuu una vituko

Kwa mara ya kwanza duniani leo nasikia mwanadamu anasema "kuomba" n i uhalifu!

Maajabu ya dunia haya

Kuomba sio uhalifu mzee..sio crime

Sijui umetumia definition gani ya morality na legality kusema "kuomba" ni uhalifu!

Ndio maana nasema mna matatizo,hamjui mnachofanya

Hao ni walevi wamemuomba mlevi mwenzao pombe,sijui crime unayosema ipo wapi hapo?

Wewe waliokuzidi maisha kila siku unaomba favour kwao,eti wewe leo mlevi mwenzio uliemzidi maisha anakuomba pombe unaita crime

Hua nashangaa sana dunia hii baadhi ya wanadamu kujipa madaraka ya ku-criminalize wanadamu walio chini yao kimaisha sijui wanapata wapi hayo madaraka?

Ndio akina nyie....majitu yenye double standard...

Halafu yanakuja humu kufungua uzi kabisa kutukana wanadamu walio chini yao kimaisha walioomba pombe tena wamekutana baa kama walevi wanao share the same passion ya ulevi

Soma hiyo comment yako hapo juu

Halafu tena pia hapo hapo umejicontradict mwenyewe

Watu wanaongelea kuomba pombe wewe ukaingiza habari za chakula

Nasemaje THE WORLD OWES YOU NOTHING
 
Tanga, Moro, Dar, Mbeya na Mwanza sijaiona hii tabia.
Hii ndio mikoa nimeingia kwenye kumbi za starehe bila kukutana na hao ombaomba wa vinywaji.
Kwa huku mwanza ni vice vesa yaani wadada ndio waomba vinywaji,atajisogeza karibu na kuanzisha story za uongo na kweli kisha ataomba bia, hii hunitokea mara nyingi na last time niko zangu las Vegas nakula vyombo usiku dada mmoja kanishobokea eti twende diamond kule ndio kuna amsha amsha,nikamuangaliaaaaa nikamuuliza kwani tulikuja wote mimi na yeye!!
 
Itakuwa hili ni miongoni mwa hayo maomba omba maana naona limetokwa povu la hela yote hapa!!! Hapo hapo ingetokea wanawekewa madawa kwenye vilevi hivyo na kutekwa ungelalama hapa

Acha ujinga... umeambiwa sehemu (kumbi) za starehe, maana yake wanaokwenda wanakwenda kujiburudisha wamejipanga sasa wewe kijana umeshaini kabisa unabeba glasi mkononi kwenda kugongea pombe hapo si una matatizo wewe!!?

Halafu eti unasema ndio wote tulivyo ila utofauti ni 'vya kuomba' na 'wa kuombwa', ajabu kwelikweli.

Yaani ufananishe ninavyomuomba Mola aninyooshee njia zangu za maisha na huyo anayeomba pombe alewe akalale au akatukane watu (maana anakunywa tu bila utaratibu pombe yoyote atakayopewa yeye twende)

Au ufananishe anayeomba chakula ale apate nguvu ya kutafuta riziki na huyo anayeomba pombe alewe mpaka ashindwe kufanya kazi za uzalishaji mali

Au ufananishe ombaomba wale walemavu wanaotumikishwa na yule mama pale jijini ili wapate chakula, mavazi na malazi ya bure na huyu anayeomba pombe alewe akatambie wenzake kuwa leo kanywa za bei ghali

Hicho ni kitu ambacho hakiwezekani mzee hao wamezingua sana tu wala usitetee ujinga. Kama unataka starehe huna budi kugharamia jombaa STAREHE GHARAMA
Aisee halafu unakuta ni dume zima linakaa linalialia kupewa vya bure

Linaraise hoja za kitoto tu eti oh sijui mbona hata nyie mnaomba wtf
 
Back
Top Bottom