Hii tabia ya kukata pesa pembeni, inaharibu pesa zetu, tuiacheni jamani

Hayo ndo mambo siamini,inakuwaje nizidishe ela,mzee nini nahesabu ela mara mbili mbili,tena nahesabu moja moja kwa ufasaha
 
Hii ya kuchana noti ni mpya aisee.

Ila wakumbuke tu kuwa nasikia ni Kosa kisheria kuharibu fedha kwa makusudi
 
Kama una wallet unawekaje hiyo ndimu na mkaa?
 
Kama una wallet unawekaje hiyo ndimu na mkaa?
Weka mkaa. Siyo lazima uweke vyote. Na suala la chuma ulete lipo sana kwenye maeneo ya biashara yaani wahanga ni wafanyabiashara na siyo wateja. Kwa hiyo uwezekano wa mfanyabiashara kuwa na chombo au mfuko mkubwa unaoweza kuwekea ndimu ni mkubwa
 
Weka mkaa. Siyo lazima uweke vyote. Na suala la chuma ulete lipo sana kwenye maeneo ya biashara yaani wahanga ni wafanyabiashara na siyo wateja. Kwa hiyo uwezekano wa mfanyabiashara kuwa na chombo au mfuko mkubwa unaoweza kuwekea ndimu ni mkubwa
Dahh hizi imani hizi
 
Kuna jamaa ikishafika usiku hakupi helaaa ng'oooo.Hata kama alikuahidi ntakulipa siku fulani bora uwahi mchana usiku hulambi hata 100.Ni msomi na ana biashara yaani yuko freesh tu.Imani za kipumbavu sana hizi.
 
Chuma ulete utaiskia Kwa maskini Tu na watu wa uswahilini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…