Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Kweli kabisaKuna baadhi ya maeneo ukiomba chenji, kama hujulikani, hupewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKuna baadhi ya maeneo ukiomba chenji, kama hujulikani, hupewi.
Imani za watu kuwa ukiweka Hela mdomoni, au ukikalia kwenye siti ya gari utafika safari ndefu bila kuchoka, kujihisi kichefu chefu na kutapikaInazuiaje
Nitafanya hivyoImani za watu kuwa ukiweka Hela mdomoni, au ukikalia kwenye siti ya gari utafika safari ndefu bila kuchoka, kujihisi kichefu chefu na kutapika
Sawa mkuuwabongo ni wachawi na wajinga sana. unajihangaisha kuwaambia hayo.
Hii kwetu ipo sana, watu wakifika 'darajani' mtoni wanatupia 'coin' sarafu kwenye maji... nilishangaa sana kuona hivyo kuuliza wanasema wanatoa mikosi na kuomba neema ziwapate.Siku moja nasafiri jmaa katoa mia tano mbili ikawa buku afu kaitupa mdoni. Kwa kweli sikumwelewa.
Siyajui yote hayo,ongea na watu uvae viatuHii kwetu ipo sana, watu wakifika 'darajani' mtoni wanatupia 'coin' sarafu kwenye maji... nilishangaa sana kuona hivyo kuuliza wanasema wanatoa mikosi na kuomba neema ziwapate.
Mkuu hiyo Fujitsu desktop bei gani?
Khaaa watu mnaonaMkuu hiyo Fujitsu desktop bei gani?
Iko full.kabisa,ram gb 12,hdd terabytes 7,inamzigo wa movies za kila aina,na music ya kila aina,ofa 1.5 millionKhaaa watu mnaona