APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Wabongo ni watu waajabu sana, tuna viimani vya kipumbavu sana, sijui tumetoa wapi tabia zisizo na maana yeyote.
Hii tabia ya kukata hela pembeni kwa dhana kwamba inakuepusha na chuma ulete haina maana yeyote,
Kila pesa nayoishikilia iwe jero, buku, kaki hata msimbazi hukosi kukuta haijakatwa pembeni wanasema ukikata inakuepusha na chuma ulete...
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete, kwanza siaminigi viimani vya kipumbavu kama hivyo, daima akili ndogo huwaza ujinga...
Watanzania wenzangu tuacheni imani za kijinga, kama huna matumizi na hela yanayoeleweka daima utapoteza pesa zako, sio unasingizia chuma ulete...
Chuma ulete ni hadithi za kufikirika tu,hazina maana tuzitukuze...
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD,
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....
Hii tabia ya kukata hela pembeni kwa dhana kwamba inakuepusha na chuma ulete haina maana yeyote,
Kila pesa nayoishikilia iwe jero, buku, kaki hata msimbazi hukosi kukuta haijakatwa pembeni wanasema ukikata inakuepusha na chuma ulete...
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete, kwanza siaminigi viimani vya kipumbavu kama hivyo, daima akili ndogo huwaza ujinga...
Watanzania wenzangu tuacheni imani za kijinga, kama huna matumizi na hela yanayoeleweka daima utapoteza pesa zako, sio unasingizia chuma ulete...
Chuma ulete ni hadithi za kufikirika tu,hazina maana tuzitukuze...
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD,
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....