Hii tabia ya kurusha majani na kanga barabarani kwenye msafara wa msiba itazamwe kwa jicho la 3

Hii tabia ya kurusha majani na kanga barabarani kwenye msafara wa msiba itazamwe kwa jicho la 3

Nimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.

Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?

Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?

Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Swali la kuuliza ni kwamba mtu aweke bomu au misumari ndani ya hizo kanga au majani ili iweje kwani kiongozi anayepita tayari ni marehemu. Hilo bomu limuue mara ya pili? Hizo jitihada zitakazotumika kukagua vitu vya hatari hazilingani na faida ya kutokana nazo.
 
Jf ya siku hizi hakuna great thinkers
Mtoa maada Yuko sahihi kuwaza hivyo lakini watu hawajamwelewa
 
Back
Top Bottom