I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Mtoa mada hebu kaa kivulini, kunywa maji upumzike kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hao wengine hawana thamani kwa vile hakuna hatari yeyote?Kumbuka kiongozi anayefanyiwa hivyo ni marehemu so hakuna hatari yoyote.
Swali la kuuliza ni kwamba mtu aweke bomu au misumari ndani ya hizo kanga au majani ili iweje kwani kiongozi anayepita tayari ni marehemu. Hilo bomu limuue mara ya pili? Hizo jitihada zitakazotumika kukagua vitu vya hatari hazilingani na faida ya kutokana nazo.Nimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Nafikiri likitokea lolote lenye uhusiano na ukisemacho unaweza ukawa mtu wa kwanza kutoa maelezo.Mdharau mwiba humchoma wachek iwe hivyo,sina maana mbaya lakini ni muhimu kujiadhari.
Atakuwa kapigwa na jua la muda mrefu na maji hajanywa😅Mtoa mada hebu kaa kivulini, kunywa maji upumzike kwanza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] acha tucheke tuu,watu wanadhani tupo alqaeda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mtoa mada hebu kaa kivulini, kunywa maji upumzike kwanza.
Serikali haiamini uchawiMsisahau na Imani za kishirikina pia,hasa hao wanaotupa vitu vikanyagwe.Waswahili wanasema penye wengi kunamengi.
Wiii nnini lakiniii...🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha yaani utakuta na njaa pia inachangia😂😂 hata yeye mwenyewe inawezekana hajui anasema niniAtakuwa kapigwa na jua la muda mrefu na maji hajanywa😅