Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Huyu makazi yake ni Jehenamu, hawezi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani.
 
Hakuna ccm ya kushinda tena kwa kishindo kwa uchaguzi halali nchi hii. Hilo hata utembee uchi nchi nzima. Hiki sio kizazi cha hicho chama cha kizee. Na kwa taarifa yako bila tume huru ya uchaguzi, hakuna mtu mwenye akili timamu atashiriki huo upuuzi. Na mkilogwa tu mkakubali tume huru ya uchaguzi huo ndio utakuwa mwisho wa ccm kuwa na maamuzi ya kipuuzi kwenye nchi hii.
Kwa hiyo kumbe shida yenu ni tume huru na si yule dhalimu wenu?
 
Huyu makazi yake ni Jehenamu, hawezi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani.
Wewe nilishakwambia mpaka ushushe hicho kibendi alichokuachia kwanza ndio utapata nafuu
 
Tena wakome kabisa...unafki ni mwing sana..mnamchafua ili iweje

Report ya ukaguz wa mali za ccm iwekwe mezan sasa tuone

Walikamatwa ugon ndomana hasira zikawa nying na jpm
 
Kama mama au shemeji yako alifukuzwa kazi kisa cheti fake na mlikua mnamtegemea ukoo wenu, kwa nini usimuone Magu ni shetani?

Kawanyoosha kiukweli...
Apumzike kwa amani shujaa.. RIP JPM
Ukichukia chukua jembe upalilie bustani...
Shetani analiwa na nchwa kaburini huko
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Musituaminishe kwamba Magufuli alikuwa Mungu mtu alikuwa hakosei.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Si utangaze kujitoa huko kama una ubavu? Unamtishia nani nyuma ya keyboard? Forget about legacy...kafie mbele huko
 
Eleza alikula rushwa ipi na ilikua lini...
Eleza barabara za mwendokasi alipiga sh ngapi na ilikua lini, ziliingia bank ipi?
Elezea hizo 1.5T aliziiba lini, aliziibaje....

We ni mshamba tu, unasiki vi story vya uongo na kweli, unaunganisha unaleta hapa...

Katika hayo huna hata moja ukiitwa mahakamani unaweza kulielezea zaidi ya kumrembulia jaji utafikiri mwanamke aliyeingia kwenye siku zake..... nitolee ushamba wako
Mahakama zipi, hizi za wasujudia majizi ya kura?
 
Watoto wao wananihusu nini we kima mknd...
Usilete huruma za kinafiki kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Uliwazaa wewe? Toa unafiki wako hapa...
Mao Zedong wa China ni moja ya alama waliiachia China na kuifanya ifike pale,..

Nchi inanuka umasikini, wananchi watoa kodi wanaumizwa na washenzi wachache waliotunisha wake zao makalio kwa pesa za wanyonge... halafu linatokea lijinga kutetea ushenzi.. hata kama ni mie nakufutia juu kwa juu pmbv

Unajua utendaji mbovu, rushwa jinsi ulivyopoteza maisha ya wa Tanzania masikini?

Nchi ambayo bado mnatongoza wapiga kura kwa kuwadanganyia vyoo na madawati inahitaji mkono wa chuma na mtu kama JPM...
sawa nimekuelewa. sasa kwanin alijenga airport kwao au kila kitu chato? kama umewah kufika china jitahd ufike nyumba aliyoish chairman Mao ndio utajua tofaut zao ni kifo na usingiz.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Nakusalimu kwa jinanla Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vipi unaumia kutokea pande zipi?
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Furaha ni kuwa itafika mahali hata mtatajana ni akina nani wasiojulioana na akina nani ni wabambikiaji🤸.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Hata mm huwa naumia sana lakin dah hamna namna. Ipo cku Mungu atatutea kwa kutupa Magufuli mwingine. Hao wanaodhan kuwa watakuwa kamwe wataishia uwaziri au ubunge. Urais wasahau....
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Ila mnateseka sana.Ni maruweruwe kwenda mbele.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Huna lolote weye simba wa karatasi tu![emoji2956]
 
Mbona uliufyat
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Mbona uliufyata kipindi Cha Musiba wakati anawatukana kina Membe,
Au teuzi zimejutupa ndiyo umejipa jukumu la kuwa mtetezi?
 
Back
Top Bottom