Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Msagaji na pepo lake at work
 
Unaongea kama mwanaume.ungekuwa mwanamke usingeandika haya
Shida wewe ni mwanaume na hayo yanawapata wanawake,so huwezi kuhisi vile wanavyohisi.
Bora ukae kimya
 
Kwanza Mimi sio msagani kaka.futa Hilo
Nimeongelea mojawapo ya chanzo kinachosababisha mwanamke kuingia katika usagaji
Huwezi kuongelea ya wanawake bila kuwa mwanamke Kwa maana hujui how they feel wanapotendwa mfululizo.ni kama Mimi niongelee wanaume wanavyojiskia wakitendwa,mi mwanaume?najua Ile feeling unaingia ndani kwako mfano unakuta mkeo analiwa na rafiki Ako au Kakao?siijui.
But as woman kumkuta mme wangu anamla dadangu au rafiki naijua.

We pokea mchango wangu mmojaawapo,Kwamba kutendwa kulikopitiliza kunasababisha wanawake wajikatie tamaa juu ya wanaume mwisho wanaangukia huko
 
Nakazia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…