Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Wanaume wanachangia Kwa kiwango kikubwa wanawake kuwa wasagaji
Kadri mnavyowaumiza ndivyo wanavyozidi kukataa tamaa na wengi kufanya maamuzi mabaya kujiingiza huko.

Hata mie nishapitiwa sana na hayo mawazo.inahitaji Imani dhabiti kuendelea kusimama katika nafasi yako ukiamini ipo siku Kila kitu kitakuwa sawa.ipo siku utaolewa na kuwa na familia yako nzuri tu.
Lakini ukiwa legelege kimsimamo unajikuta huko dakika chache na ukiwa addicted ndo basi Tena.
Sio kwamba mnakataa wanaume? .Haya JF mashahidi nifuate pm nikuoe mke wa pili
 
Unaongea kama mwanaume.ungekuwa mwanamke usingeandika haya
Shida wewe ni mwanaume na hayo yanawapata wanawake,so huwezi kuhisi vile wanavyohisi.
Bora ukae kimya
kwahiyo na wanaume mashoga nao wameumizwa sana na wanawake mpaka wakaamua kuwa mashoga?,.... hiyo sio hoja kabisaa madam,....waza kivingine?,...
 
Pia kuna wanawake wamejitengenezea standard fulani kwa mwonekano wao au machaguo yao yanawafanya wasitongozwe na kupelekea hiyo hali
Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?

Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R Donatila
 
kwahiyo na wanaume mashoga nao wameumizwa sana na wanawake mpaka wakaamua kuwa mashoga?,.... hiyo sio hoja kabisaa madam,....waza kivingine?,...
Kwani chanzo Cha tatizo huwa ni kimoja Kwa Kila mtu?
Tatizo mnanijibu Kwa mihemko,hamsomi Ili muelewa Bali mjibu
Nimesema kimojawapo kinachochangia.so sababu zinaweza tofauti Kwa watu tofauti
 
Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?

Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R Donatila
🚶
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Hakuna lolote.
hao wanao tongoza wanawake wenzao sio wanawake ni wanaume ambao wanatumia fake profiles. Wewe ndio una promote usagaji kwa ku uongelea.

Moderator
Futeni Uzi huu tafadhali.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?

Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R Donatila
Wanawake kwenye mahusiano wanafurahia zaidi affection (kampani, care na huruma) na sio pesa Wala zawadi.

Hivyo vitu vyote wanavyo wanawake wenzao,

wee mwanaume uko bize na mihangaiko Yako huna MDA nae,

ukishamkojolea TU unavaa na kuondoka zako bila kujali km karidhika au lah!.

Sasa wenzao wasagaji Ni wataalam sn WA saikolojia,wanajua kumsoma, Wana huruma Sana na wanajua wapi patampa raha mwanamke mwenzake.

Akimkamatia penyewe haswa, mkeo Yuko radhi aombe Hata talaka ili abaki na shoga ake.
 
Kwani chanzo Cha tatizo huwa ni kimoja Kwa Kila mtu?
Tatizo mnanijibu Kwa mihemko,hamsomi Ili muelewa Bali mjibu
Nimesema kimojawapo kinachochangia.so sababu zinaweza tofauti Kwa watu tofauti
kiufupi hoja yako ni dhaifu mno na ya kitoto sana,mkuu, huwezi ukasema umekua msagaji kisa umeumizwa na wanaume,...hata mtoto mdogo atakucheka,.......mtu kuwa msagaji au shoga, hayo ni machagulio yake BINAFSI acha kunyooshea watu vidole kwenye matatizo yenu, kuweni WAWAJIBIKAJI kwenye matatizo yenu na sio kusingizia watu,.......
 
kiufupi hoja yako ni dhaifu mno na ya kitoto sana,mkuu, huwezi ukasema umekua msagaji kisa umeumizwa na wanaume,...hata mtoto mdogo atakucheka,.......mtu kuwa msagaji au shoga, hayo ni machagulio yake BINAFSI acha kunyooshea watu vidole kwenye matatizo yenu, kuweni WAWAJIBIKAJI kwenye matatizo yenu na sio kusingizia watu,.......
Unaonekana umkasirika na jazba.haya sawa we shikilia unachoamini kama mwanaume.nami kama mwanmke ntashikilia nnachoamini.inatosha,🖐️
 
Katika ishu hii, kusema kwamba mwanaume ndiyo sababu kwa namna yoyote Ile siyo sahihi kabosa..kama ni suala la stress za ndoa au ndoa kuvunjika, hayo mbona ni mambo ya kawaida na tumeshaambiwa hakunaga ndoa isiyo na changamoto. Ni rahisi sana kwa mwanandoa aliyeachika kutafuta mwenza mwingine awe wa kudumu au Hawa madanga au pengine kuamua kuishi mwenyewe.

Suala la usagaji[wanawake] naona hii ni Tabia chafu ya mtu anayoweza kuwa nayo hasa kwa ushawishi wa mazingira[mfano mabinti wa shule hasa za bweni hii kitu asilimia kadhaa huwa wanafanya sana] na wale wanaofanya kwa malengo maalumu au kwa kukusudia, either Kuna masirahi Fulani wanapata kwa kufanya hivo au Wana uraibu wa ngono kiasi kwamba wanafikia hatua ya kutamaniana jinsia moja, hiii ni sawa na ushoga TU kwa wanaume.
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Mmh ogopa sana mabinti wanaojiita BFF wanaojipost post ovyo vacation mara sijui nini mh kazi ipo hapo yaaaani ji shida sana.
 
Tatizo ni wanaume wamekuwa wadhembe kupanda mlima na kufika kileleni pasipokutumia energy, power, kongo n.k.
Hivi unazijua hizi K za toleo jipya Mkuu? Zina mengi yasiyozitosheleza.

Usagaji na Ushoga kwa watu maarufu wengi wanatimiza Ibada za kuzimu. Wasanii wengi, wengi sana kwa mfano, Wana practice hii kitu.
 
Unaonekana umkasirika na jazba.haya sawa we shikilia unachoamini kama mwanaume.nami kama mwanmke ntashikilia nnachoamini.inatosha,🖐️
hiyo hasira na jazba umeitumia wewe kwenye kujibu,.... ndio sababu umekuja na hoja dhaifu ya kutetea uchafu,....kwa ufupi jifunze kuwa muwajibikaji kwenye makosa yako mwenyewe na uache kusingizia WATU,.....✍️✍️
 
Back
Top Bottom