Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hivi unazijua hizi K za toleo jipya Mkuu? Zina mengi yasiyozitosheleza.

Usagaji na Ushoga kwa watu maarufu wengi wanatimiza Ibada za kuzimu. Wasanii wengi, wengi sana kwa mfano, Wana practice hii kitu.
Hakuna ibada zozote za sehemu inayo itwa "kuzimu" zinazofanya watu wasagane.

Tamaa na njaa ndio husababisha watu wasagane.
 
Tatizo la ushoga na usagaji linasababishwa na kuendekeza tamaa,njaa na umasikini tu,vinginevyo ni vigumu sana mtu kumtamani wa jinsia yake pasipo na sababu yoyote ile,
Msisahau wakati wa kulea watoto wenu muwaambie kiwa Weekness ni mtaji
 
Wanaume wanachangia Kwa kiwango kikubwa wanawake kuwa wasagaji
Kadri mnavyowaumiza ndivyo wanavyozidi kukataa tamaa na wengi kufanya maamuzi mabaya kujiingiza huko.

Hata mie nishapitiwa sana na hayo mawazo.inahitaji Imani dhabiti kuendelea kusimama katika nafasi yako ukiamini ipo siku Kila kitu kitakuwa sawa.ipo siku utaolewa na kuwa na familia yako nzuri tu.
Lakini ukiwa legelege kimsimamo unajikuta huko dakika chache na ukiwa addicted ndo basi Tena.
Nina swali kwako wewe dada, mwanamke mwenzako akikutongoza huwa mnaomba hela?
 
Sister Abigail ana hoja asikilizwe.

Kuumizwa na mahusiano inaweza kuwa moja ya sababu inayochangia mtu kuingia kwenye hiyo michezo.
Binti kama amekuwa akilizwa kwenye mahusiano, halafu akakutana na msagaji akamrubuni huyu, huyu binti asipokuwa na msimamo uwezekano ni rahisi kuteteleka.
 
Sister Abigail ana hoja asikilizwe.

Kuumizwa na mahusiano inaweza kuwa moja ya sababu inayochangia mtu kuingia kwenye hiyo michezo.
Binti kama amekuwa akilizwa kwenye mahusiano, halafu akakutana na msagaji akamrubuni huyu, huyu binti asipokuwa na msimamo uwezekano ni rahisi kuteteleka.
Asante.shida wanaonipinga ni wanae,hawaelewi kitu
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Martha Mwaipaja
 
Sijawahi kudate mwanamke mwenzangu,so Sina jibu.kawafate unaowajua wanadate mwanmke Kwa mwanmke watakujibu jibu zuri iam sure
Nimeuliza sababu hata wewe umesema ulishatamani kusagana ndo nikauliza hata wasaganaji mnaombana hela?
Sina wa kumuuliza mwingine labda ajitokeze msagaji humu jf atoe majibu.
 
Wanaume wanachangia Kwa kiwango kikubwa wanawake kuwa wasagaji
Kadri mnavyowaumiza ndivyo wanavyozidi kukataa tamaa na wengi kufanya maamuzi mabaya kujiingiza huko.

Hata mie nishapitiwa sana na hayo mawazo.inahitaji Imani dhabiti kuendelea kusimama katika nafasi yako ukiamini ipo siku Kila kitu kitakuwa sawa.ipo siku utaolewa na kuwa na familia yako nzuri tu.
Lakini ukiwa legelege kimsimamo unajikuta huko dakika chache na ukiwa addicted ndo basi Tena.
Hapa umesema kweli lakini imeelekeza lawama sehemu isiyo sahihi chanzo cha yote ni udanganyifu wa shetani na tamaa za mtu mwenyewe sababu inaweza kuwa wanaume lakini pia inaweza kuwa wanawake wenyewe kudanganyika
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Wadada hawakutongozi inbox kwasababu huposti picha nzuri za kujionesha utanashati wako.
Uliza uambiwe, wanawake wanajitongozesha sana inbox, wewe anza kuposti picha nzuri uone, sio tu wadada hadi wanaume wezako watakufuata inbox

Ukitaka ujue mapenzi ya jinsia moja yapo au hayapo, waulize wanojiposti uzuri wao mitandaoni, warembo na watanashati wote wa kike na kiume watakumbia kuwa inbox wanatongozwa na watu wa jinsia zote bila kujalinwao ni jinsia gani.

Hiyo homosexuality ni jambo la ajabu tukiongea hivi hadharani na kweupe, ila laiti haya majumba ya Dar na vitanda vyake vingjua kuongea watubwanafanya ndani mwake tungesema kweli hatujui.
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Waliposema kua uyaone, sio magorofa
 
Back
Top Bottom