Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Kwanza zuzu mwenyewe
Usagaji na ushoga vyote ni chukizo mbele za Mungu
Hakuna chenye ubora tumia akili shenziii wewe
 
Kama upo siriaz njoo pm unipe namba ya whatssap nikutumie clip ujionee mwenyewe
 
Zamani Wanawake walikuwa hawaumizwi? Mbona ndio walikuwa wanabondwa na Waume zao mpaka wanaenda kukaa kwao mwezi mzima lakini hawakuwa na hayo mawazo na walirudi kulea watoto?
 
Inatisha, INASIKITISHA, kuiga tu wala siyo tabia yao!
Ila tukubali, kama ushoga, hii tabia ipo toka enzi na enzi na enzi.
Hata kwetu afrika!
Una ushahidi kuwa kwa Afrika hii tabia ya Usagaji ilikuwepo tangu enzi?

Ushoga sawa, ulikuwepo japo haukuvuma na kuonekana halali, ila Usagaji Big NO
 
Ni kweli kuangalia ngono tu na kutaka kujaribu kila wanachokiona.
 
Hapana sitaki kuamini uumizwe na mwanaume mmoja au wawili urukie kwenye usagaji?labda tu uwe na hamu ya kutest hiyo kitu maana sio wanaume wote ni wabqya kuna wanaume wema na wamejaa mapenzi mpaka yanamwagika
 

Haya yalitabiriwa, ya ongeza tu validity ya unabii wa Biblia, “ firm and money “ Hivi unafikiri P - Didd alikuwa anafurahia kabisa kufanya ushenzy wake wote ule? Devil recruitment!
 
Unaongea kama mwanaume.ungekuwa mwanamke usingeandika haya
Shida wewe ni mwanaume na hayo yanawapata wanawake,so huwezi kuhisi vile wanavyohisi.
Bora ukae kimya
Mimi naongeo kama Mwanamke nakataa kabisa hii...labda uwe tu matamanio ya kutest hii kitu aisee,hakuna uhusiano wa kusagana na kuumizwa...ngoja nipate mawazo ya mtumishi Pridah Hivi ukiumizwa na mwanaume huwa unatamani Kusagana? Lamomy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…