Hii tabia ya Wanawake kuibiwa hela imeshamiri sana!

Hii tabia ya Wanawake kuibiwa hela imeshamiri sana!

jebs2002

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2008
Posts
9,604
Reaction score
8,812
Ni majanga.

Utasikia nimeibiwa na boda, wamekwapuwa pochi yangu baada ya kutoka kutoa hela Mlimani City, ilikuwa na smart phone na ile laki tano niliyotoa baba watoto!

Au nikiwa ndani ya daladala, nafikiri yule kijana pembeni yangu alipulizia madawa ya usingizi au ya kulevya, akanikokota mpaka ATM nikatoa hela zote kwenye akaunti yangu na yako/ya mama/baba nk!
KUNANI?!
 
Depal una mchango gani ktk hili ndugu mjumbe?
Mimi kama muhanga, kuna mbwaa wanajua kuiba 🙌 mbwaa wanajua kucheza na timing. Yaan likukute ndio utaelewa… mtu anaweza akadhani ni unamdanganya, mimi ile simu imeibwa j3 asbh, j3 jioni nikarudi hewani.
Ukimwambia mtu, anaweza ona ni fix… unataka kumchuna 🤣🤣
 
Ni majanga. Utasikia nimeibiwa na boda, wamekwapuwa pochi yangu baada ya kutoka kutoa hela Mlimani City, ilikuwa na smart phone na ile laki tano niliyotoa baba watoto!
Au nikiwa ndani ya daladala, nafikiri yule kijana pembeni yangu alipulizia madawa ya usingizi au ya kulevya, akanikokota mpaka ATM nikatoa hela zote kwenye akaunti yangu na yako/ya mama/baba nk!
KUNANI?!

Utapeli ni mwingi kuliko maelezo tunayosikia, ukitaka kuzimia kaa saloon, utasikia kinyozi anavyodanganywa kwenye simu
  1. Utasikia nina mgonjwa Muhimbili sina hata mia
  2. Nimekwama Kibaha sina hata nauli ya kurudi nyumbani Kigamboni
  3. Nimelazwa Mloganzila sijala tangu jana nasaidiwa vijuice tu na majirani
  4. Nipo njiani naelekea Chalinze mdogo wangu amepata ajali sina hata buku nauli nimesaidiwa na konda
  5. Hii simu nimeazima nairudisha kwa mwenye nayo sitapatikana hewani
  6. Salio kwenye simu ni la sms 3 tu ziisha sitakujibu
  7. Nipo njiani nakuja kwako ila nimekwama hapa Buguruni nauli haitoshi kufika hapo ulipo
 
Mleta Uzi utakuwa MBAHILI sana kiasi mwanamke Ili apate pesa Yako mpaka acheze drama...
Sometimes sio ubahili ni vile baadhi ya wadada wamekuwa wafinyu wa fikra ktk kutafuta fedha!. Wanawake baadhi ukiwaonyesha fedha,kuwapawapa wakajua hapa zipo atatafuta mbinu umpatie haijalishi huwa unampatia au lah!.
kumpatia kwako yeye anachukulia wewe ni boya,linalofaa kupigwa hela tu! So atafanya ukiritimba wowote ule ilimradi zimfikie!.

sometimes it's better to not show if you have something, others act crazily when they know you have something.
 
Sometimes sio ubahili ni vile baadhi ya wadada wamekuwa wafinyu wa fikra ktk kutafuta fedha!. Wanawake baadhi ukiwaonyesha fedha,kuwapawapa wakajua hapa zipo atatafuta mbinu umpatie haijalishi huwa unampatia au lah!.
kumpatia kwako yeye anachukulia wewe ni boya,linalofaa kupigwa hela tu! So atafanya ukiritimba wowote ule ilimradi zimfikie!.

sometimes it's better to not show if you have something, others act crazily when they know you have something.
Ni kweli kabisa,kuna binadamu wa ajabu sana,Yuko radhi kusema hata mama yake mzazi kameza shoka Ili apate pesa za bwelele...na hii tabia sio wanawake tu hata Kuna baadhi ya wanaume wanatumia sana drama akijua mwanamke wake ana uwezo kiasi,utasikia"Hani,Kuna mzigo niliagiza bandarini nimekwama laki Tano,Niazime niutoe then nitakurudishia,kumbe hamna Cha mzigo wala Cha parcel..
 
Ni kweli kabisa,kuna binadamu wa ajabu sana,Yuko radhi kusema hata mama yake mzazi kameza shoka Ili apate pesa za bwelele...na hii tabia sio wanawake tu hata Kuna baadhi ya wanaume wanatumia sana drama akijua mwanamke wake ana uwezo kiasi,utasikia"Hani,Kuna mzigo niliagiza bandarini nimekwama laki Tano,Niazime niutoe then nitakurudishia,kumbe hamna Cha mzigo wala Cha parcel..
Iife is now zigzag nipigiwe wimbo wa tajiri tafadhari...😂
 
Back
Top Bottom