Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
PoleMi ndio kiranja wao....hizo simu vibaka washachukua sana....ila Sijawahi ibiwa Hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleMi ndio kiranja wao....hizo simu vibaka washachukua sana....ila Sijawahi ibiwa Hela
Mi niliambiwa Kuna Msiba kwao Kondoa na hakuna ng'ombe wa kula msibani.. Yeye ndio anatakiwa atume hela ya kununua ng'ombe..Ni kweli kabisa,kuna binadamu wa ajabu sana,Yuko radhi kusema hata mama yake mzazi kameza shoka Ili apate pesa za bwelele...na hii tabia sio wanawake tu hata Kuna baadhi ya wanaume wanatumia sana drama akijua mwanamke wake ana uwezo kiasi,utasikia"Hani,Kuna mzigo niliagiza bandarini nimekwama laki Tano,Niazime niutoe then nitakurudishia,kumbe hamna Cha mzigo wala Cha parcel..
Wanawake ni wazembeNi majanga. Utasikia nimeibiwa na boda, wamekwapuwa pochi yangu baada ya kutoka kutoa hela Mlimani City, ilikuwa na smart phone na ile laki tano niliyotoa baba watoto!
Au nikiwa ndani ya daladala, nafikiri yule kijana pembeni yangu alipulizia madawa ya usingizi au ya kulevya, akanikokota mpaka ATM nikatoa hela zote kwenye akaunti yangu na yako/ya mama/baba nk!
KUNANI?!
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo ndio utajua hujui.... Daaah watu wanapendana sana msererekoMi niliambiwa Kuna Msiba kwao Kondoa na hakuna ng'ombe wa kula msibani.. Yeye ndio anatakiwa atume hela ya kununua ng'ombe..
😂huyo ni selemani sele.Ni kweli kabisa,kuna binadamu wa ajabu sana,Yuko radhi kusema hata mama yake mzazi kameza shoka Ili apate pesa za bwelele...na hii tabia sio wanawake tu hata Kuna baadhi ya wanaume wanatumia sana drama akijua mwanamke wake ana uwezo kiasi,utasikia"Hani,Kuna mzigo niliagiza bandarini nimekwama laki Tano,Niazime niutoe then nitakurudishia,kumbe hamna Cha mzigo wala Cha parcel..