Hii tabia ya Wanawake kuibiwa hela imeshamiri sana!

Mi niliambiwa Kuna Msiba kwao Kondoa na hakuna ng'ombe wa kula msibani.. Yeye ndio anatakiwa atume hela ya kununua ng'ombe..
 
Wanawake ni wazembe
 
😂huyo ni selemani sele.

I miss you dada mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…