Ulipo bosha hodi, uliingia.Kama mtu alipojiunga alibisha hodi kwanini leo asiage?
Mfano: mimi nilibisha hodi nikakaribishwa kiitifaki siku naondoka natakiwa kuaga.
Tusiwe negative kila siku. Wengine hata hizo kick mnazodai wanazitafuta kwa kuaga hata hazipo vichwani.
Mhhhhh.......[emoji45] [emoji45] [emoji45]nipatapo time sio kila muda mkuu
Akibisha naomba uniite aiseee....[emoji13] [emoji13][emoji3] [emoji3] [emoji3] kila uzi nakuona safi sana.
Mgeni anaweza kuaga kufika stand basi limemwacha. Anarudi. Kwani dhambi?Ulipo bosha hodi, uliingia.
Hapa issue ni mtu anapo aga alafu haondoki....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mhhhhh.......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Mbona minakuona 24/7
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sasa nibora akiachwa na basi, arejee na bango tena....[emoji2] [emoji2]Mgeni anaweza kuaga kufika stand basi limemwacha. Anarudi. Kwani dhambi?
Ohoooo.......You are wrong mkuu
Halafu wengi wanaoaga wanakuwa hawajadecide moja kwa moja. Kuweka uzi mara nyingine ni kuseek ushauri wa kujiengua au kutokujiengua sema wanashindwa kusema moja kwa moja.Sasa nibora akiachwa na basi, arejee na bango tena....[emoji2] [emoji2]
SawaHalafu wengi wanaoaga wanakuwa hawajadecide moja kwa moja. Kuweka uzi mara nyingine ni kuseek ushauri wa kujiengua au kutokujiengua sema wanashindwa kusema moja kwa moja.
Comments na michango ya wanajf zinawafanya pia wabadilishe maamuzi mkuu.
Ohoooo.......
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Padri coz wanaonda kanisan ni watakatifu hata haja zao ni safi yani takatifu[emoji23] [emoji23] aliyekwambia choo cha kanisa ndo kinakuwa kisafi nani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] hivi unazijua hatari za kulala uchi,? BTW you will miss ME when I go[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe ata uondoke tu maana nikiona uzi unaoanzisha ni wa uganga uganga, ushirikina, ulozi, khaa maana kuna uzi mmoja umenifanya nikilala, nalala uchi ili nione wachawi ila mpaka sasa sijawahi kuwaona wachawi
i wish i could be Paw (in voise of naniliu)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa i wish i could be mchawi,fasta nakufotoa picha na kuzibandika humu
Nani alisema hvyoMimi nahisi pia wanaume tunachangia kuwakimbiza members wa kike.
Nimeona nyuzi tatu za watu waliojitangaza kuondoka kwa hiyari, moja ya member wa kiume mbili za wanawake.
Mwanamke mmoja kati ya walioaga aliwahi kuonyesha jinsi alivyofatwa pm na memba mmoja wa kiume na jamaa alifika tu na kusema "Mkuu Naomba nikut0mb3"
Baadhi tunaweza sema kua, kuondoka kisa kama hiki ni kushindwa kujidhibiti, lakini hiki kinakua ni kiambata mtu anapotafuta sababu za kumtoa jf.
Mnaofuata watu pm badilikeni.
Sio lazima ututangazie. Potea tu kimya kimya kama ulivyoingia.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Japo wengine hujitoa kwasababu ya ndoa...kujitoa JF huwa ni mojawapo ya masharti
Kiherehere sometimes.. Si unajua hatufanani?Sio lazima ututangazie. Potea tu kimya kimya kama ulivyoingia.
Mimi nahisi pia wanaume tunachangia kuwakimbiza members wa kike.
Nimeona nyuzi tatu za watu waliojitangaza kuondoka kwa hiyari, moja ya member wa kiume mbili za wanawake.
Mwanamke mmoja kati ya walioaga aliwahi kuonyesha jinsi alivyofatwa pm na memba mmoja wa kiume na jamaa alifika tu na kusema "Mkuu Naomba nikut0mb3"
Baadhi tunaweza sema kua, kuondoka kisa kama hiki ni kushindwa kujidhibiti, lakini hiki kinakua ni kiambata mtu anapotafuta sababu za kumtoa jf.
Mnaofuata watu pm badilikeni.
Anhaa sasa hizi inabidi nikupe namba yangu uwe unazituma tu mkuu...
Hahaha wewe numby wewe
mimi sina naniliu maana wale manesi wenye vyeti vya stationey waliikata pakabaki flat