Hii tabia ya watu kuja na thread "Leo ni siku ya mwisho kutumia JF"

Hii tabia ya watu kuja na thread "Leo ni siku ya mwisho kutumia JF"

Kama mtu alipojiunga alibisha hodi kwanini leo asiage?
Mfano: mimi nilibisha hodi nikakaribishwa kiitifaki siku naondoka natakiwa kuaga.

Tusiwe negative kila siku. Wengine hata hizo kick mnazodai wanazitafuta kwa kuaga hata hazipo vichwani.
Ulipo bosha hodi, uliingia.
Hapa issue ni mtu anapo aga alafu haondoki....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ulipo bosha hodi, uliingia.
Hapa issue ni mtu anapo aga alafu haondoki....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mgeni anaweza kuaga kufika stand basi limemwacha. Anarudi. Kwani dhambi?
 
Sasa nibora akiachwa na basi, arejee na bango tena....[emoji2] [emoji2]
Halafu wengi wanaoaga wanakuwa hawajadecide moja kwa moja. Kuweka uzi mara nyingine ni kuseek ushauri wa kujiengua au kutokujiengua sema wanashindwa kusema moja kwa moja.

Comments na michango ya wanajf zinawafanya pia wabadilishe maamuzi mkuu.
 
Halafu wengi wanaoaga wanakuwa hawajadecide moja kwa moja. Kuweka uzi mara nyingine ni kuseek ushauri wa kujiengua au kutokujiengua sema wanashindwa kusema moja kwa moja.

Comments na michango ya wanajf zinawafanya pia wabadilishe maamuzi mkuu.
Sawa
 
Wewe ata uondoke tu maana nikiona uzi unaoanzisha ni wa uganga uganga, ushirikina, ulozi, khaa maana kuna uzi mmoja umenifanya nikilala, nalala uchi ili nione wachawi ila mpaka sasa sijawahi kuwaona wachawi

i wish i could be Paw (in voise of naniliu)
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] hivi unazijua hatari za kulala uchi,? BTW you will miss ME when I go[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mimi nahisi pia wanaume tunachangia kuwakimbiza members wa kike.

Nimeona nyuzi tatu za watu waliojitangaza kuondoka kwa hiyari, moja ya member wa kiume mbili za wanawake.

Mwanamke mmoja kati ya walioaga aliwahi kuonyesha jinsi alivyofatwa pm na memba mmoja wa kiume na jamaa alifika tu na kusema "Mkuu Naomba nikut0mb3"

Baadhi tunaweza sema kua, kuondoka kisa kama hiki ni kushindwa kujidhibiti, lakini hiki kinakua ni kiambata mtu anapotafuta sababu za kumtoa jf.

Mnaofuata watu pm badilikeni.
Nani alisema hvyo
Pleaaas!!
 
Sio lazima ututangazie. Potea tu kimya kimya kama ulivyoingia.
Kiherehere sometimes.. Si unajua hatufanani?
Naamini ushawahi kuona mitaani mtu kanunua kamtumba toka Japan lakini wiki na zaidi bado anatembea na yale maandishi na mastika bila kusafisha...
 
Yaani wangine wanatishia kuondoka jf utafikiri wao ndio wameshika hatma yetu hapa jf. Hunipi bando wala wewe sio founder wa jf.

U
 
Mimi nahisi pia wanaume tunachangia kuwakimbiza members wa kike.

Nimeona nyuzi tatu za watu waliojitangaza kuondoka kwa hiyari, moja ya member wa kiume mbili za wanawake.

Mwanamke mmoja kati ya walioaga aliwahi kuonyesha jinsi alivyofatwa pm na memba mmoja wa kiume na jamaa alifika tu na kusema "Mkuu Naomba nikut0mb3"

Baadhi tunaweza sema kua, kuondoka kisa kama hiki ni kushindwa kujidhibiti, lakini hiki kinakua ni kiambata mtu anapotafuta sababu za kumtoa jf.

Mnaofuata watu pm badilikeni.

Sheria za jf zinasemaje kuhusu maongezi ya pm?!
 
Ooh waaaoo sijawahi ona kitu hicho,itakua mara ya kwanza kushuhudia maajabu hayo
Hahaha wewe numby wewe

mimi sina naniliu maana wale manesi wenye vyeti vya stationey waliikata pakabaki flat
 
Back
Top Bottom