Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mdhamini ni wafanyabiashara wakubwa, hii nchi kwa hizi imani za kila mwenye pesa ni mwizi tutachelewa sana.Kumbe hujielewi, kukwambia ututajie mdhamini wa Royal Tour ndio chuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ok basi, wewe baki na mahaba yako🫣🫣
JPM aliwaongelea vibaya matajiri akiwa majukwaani lakini akishuka hapo anamtuma Dotto James akae na viongozi wa nchi wahisani ili awapige mizinga.