Kama ningekuwa nawafananisha sura zao, hapo ningekubaliana na madai yako kwamba kila mmoja ana muonekano wake tofauti wa sura, kulinganisha na mwenzie.
Lakini tunapokuja kwenye suala la utendaji serikalini, hapa mjomba tusidanganyane, kuna standard lazima ifikiwe ili kuhakikisha panakuwepo na uwajibikaji ili kuondoa uzembe serikalini.
Lakini kinyume na hapo, ni kuliangamiza taifa, na hatuwezi kuangalia taifa likiangamizwa kwa kigezo chepesi tu kwamba kila mmoja ana style yake ya uongozi, huku ni kutokujielewa.