Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?

Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.

I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.

Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.

Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Huyu si mwengine, bali ni PhD holder kutokea Chato 😍
 
subiri ni chaji simu
FB_IMG_1685869738557.jpg
 
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?

Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.

I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.

Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.

Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Ngoja waje Nyumbu wa Ufipa!
 
Madikteta wengi wanapenda hayo mambo ya ujenzi. Ukiwatoa madikteta wachache wapumbavu kama Mobutu na Bokasa ila wengine wengi walijenga sana kwenye nchi zao. Hata Idd Amin alijenga hadi uwanja wa Nakivubo. Ila kwenye ubinadamu hakuna kitu kinachoweza linganishwa na uhai wa binadamu. Madikteta wangejenga hivyo vitu bila kudhulumu haki za watu ikiwemo ya kuishi wangekumbukwa kwa mazuri yao. Pamoja na mambo mazuri aliyofanya kwenye ujenzi lakini ni ngumu kumsifu na kumkumbuka JPM kwa ule udikteta wake.
Hizo Story tu Mkuu,hakuna utawala usio ua,kuna criminals ambao ni lazima uwamalize ili nchi itulie.
Ata wewe ukipewa Urais na kuna criminals mbele Yako ambao wanakuwekea Giza,uta dili nao tu,hamna namna.
Serikali haiwezi kuangaika na mtu ambaye hana madhara kwa usalama wa nchi na ndiyo maana unapopewa uongozi unakula kiapo!
 
Waafrika wengi wana uwezo mdogo sana wakufikiri. Absract reasoning inawasumbua sana. Uwezo wetu wa kifkra upo katika vitu vinavyoonekana Kwa macho, pasipo kujua kuwa hivi vinavyoonekana Kwa macho ni kivuli cha vitu halisi visivyoonekana.

Siasa za watu weusi hujikita katika kushabikia watu na Wala siyo sera na mipango. Ndio maana watu wetu ni rahisi sana kushabikia nani kajenga nini bila kujali fiscal responsibility. Watu wetu wanaweza kushabikia madaraja na barabara ,kuliko umoja wa kitaifa maana uwezo wao upo katika vitu vya kuonekana.

Sikilizeni nyie wajinga, historia huwakumbuka watu wema walioleta fikra chanya juu ya maisha ya watu. Historia huwakumbuka watu wenye mawazo yanayoponya nafsi zilizovunjika.

Historia , hajawahi kuwakumbuka watu waliojenga magorofa huku watu hao wakisababisha kilio miongoni mwa watu.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hivi hayo yote hayawezi kutokea hadi upoteze watu kwa sababu tu wana mawazo tofuati na yako! Wewe nani hadi ujione wewe tu ndiye mwenye mawazo sahihi na hutaki kukosolewa na yeyote.
Hizo ni protocol za kiusalama,na ndiyo maana ata CIA walimuua Rais John Kennedy kwasababu alikwenda kinyume na kiapo.Sasa sembuse wewe Mwayangumwayangu ulete ngebe Dola likuache.
 
Hizo Story tu Mkuu,hakuna utawala usio ua,kuna criminals ambao ni lazima uwamalize ili nchi itulie.
Ata wewe ukipewa Urais na kuna criminals mbele Yako ambao wanakuwekea Giza,uta dili nao tu,hamna namna.
Serikali haiwezi kuangaika na mtu ambaye hana madhara kwa usalama wa nchi na ndiyo maana unapopewa uongozi unakula kiapo!
Sawa mkurugenzi wa usalama.
 
Hizo ni protocol za kiusalama,na ndiyo maana ata CIA walimuua Rais John Kennedy kwasababu alikwenda kinyume na kiapo.Sasa sembuse wewe Mwayangumwayangu ulete ngebe Dola likuache.
Lilikuwa na roho mbaya tu kwani hiyo dola kaanza kuiongoza yeye mbona huko nyuma na hata sasa hatukusikia matukio ya watu kupotea ovyo ovyo ama kuokotwa maiti za watu kwenye viroba kila kukicha.
 
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?

Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.

I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.

Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.

Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Magufuli ni Genius asiye mnafiki. Asante sana mungu kwa maisha ya Magufuli umetuonyesha kwa nini Tanzania hatupigi hatua mbele.
 
La kwanza kuhusu SGR Magufuli was perfect, spot on, alitaka treni ya umeme, akajua huu umeme wa Tanessco tulionao wajanja walishaugeuza dili kwao, wakawa wanatupiga watanzania kupitia hapo, wajanja kila mwezi wanalipwa mapesa mengi tu.

Sasa kwenye kuwakwepa hao, ndipo Magufuli akaenda na Bwawa la Nyerere, hapa mafisadi wakaungana na wazungu kupiga kelele Bwawa la Nyerere litaharibu mazingira, mvua hazitanyesha kisa amekata miti sijui milioni ngapi!.

Magufuli hakuwasikiliza, akasimamia kile alichokiamini, leo tunaambiwa Bwawa linakaribia kujaa, tena tunatangaziwa hivyo na mpinzani aliyeamua kukubali ukweli ili asijitese nafsi yake, tena linajazwa na zile mvua walizosema zisingenyesha, ndio zenyewe zinakaribia kujaza hilo bwawa.

Magufuli aliniachia somo kubwa sana, hasa nikimlinganisha na huyu mtawala tuliyenaye sasa.

Kiongozi siku zote lazima awe na maono, ajue kutumia akili yake ili kutimiza maono yake kwa manufaa ya wale anaowaongoza, awe na msimamo wenye mantiki, sio wa kijinga kama kukumbatia mawaziri mizigo mpaka wakuharibie, na awe na kichwa cha kufikiri, sio kusaidiwa kufikiria na watendaji wake hata wenye mentality ya wizi na ufisadi na kuwatetea kwa nguvu.
Acheni kumsakama hajawahi kuwaomba kuwa Rais
 
La kwanza kuhusu SGR Magufuli was perfect, spot on, alitaka treni ya umeme, akajua huu umeme wa Tanessco tulionao wajanja walishaugeuza dili kwao, wakawa wanatupiga watanzania kupitia hapo, wajanja kila mwezi wanalipwa mapesa mengi tu.

Sasa kwenye kuwakwepa hao, ndipo Magufuli akaenda na Bwawa la Nyerere, hapa mafisadi wakaungana na wazungu kupiga kelele Bwawa la Nyerere litaharibu mazingira, mvua hazitanyesha kisa amekata miti sijui milioni ngapi!.

Magufuli hakuwasikiliza, akasimamia kile alichokiamini, leo tunaambiwa Bwawa linakaribia kujaa, tena tunatangaziwa hivyo na mpinzani aliyeamua kukubali ukweli ili asijitese nafsi yake, tena linajazwa na zile mvua walizosema zisingenyesha, ndio zenyewe zinakaribia kujaza hilo bwawa.

Magufuli aliniachia somo kubwa sana, hasa nikimlinganisha na huyu mtawala tuliyenaye sasa.

Kiongozi siku zote lazima awe na maono, ajue kutumia akili yake ili kutimiza maono yake kwa manufaa ya wale anaowaongoza, awe na msimamo wenye mantiki, sio wa kijinga kama kukumbatia mawaziri mizigo mpaka wakuharibie, na awe na kichwa cha kufikiri, sio kusaidiwa kufikiria na watendaji wake hata wenye mentality ya wizi na ufisadi na kuwatetea kwa nguvu.
Yes... Kiongozi unang'ang'ania vichwa panzi kwenye baraza la mawaziri maana wameombewa na godfather. Inaonyesha mwenyewe huna uwezo imetokea kwa bahati mbaya tu. Itakapofika muda litendee taifa wema kwa kuhakikisha tunapata mtu wa kutuvusha.
 
La kwanza kuhusu SGR Magufuli was perfect, spot on, alitaka treni ya umeme, akajua huu umeme wa Tanessco tulionao wajanja walishaugeuza dili kwao, wakawa wanatupiga watanzania kupitia hapo, wajanja kila mwezi wanalipwa mapesa mengi tu.

Sasa kwenye kuwakwepa hao, ndipo Magufuli akaenda na Bwawa la Nyerere, hapa mafisadi wakaungana na wazungu kupiga kelele Bwawa la Nyerere litaharibu mazingira, mvua hazitanyesha kisa amekata miti sijui milioni ngapi!.

Magufuli hakuwasikiliza, akasimamia kile alichokiamini, leo tunaambiwa Bwawa linakaribia kujaa, tena tunatangaziwa hivyo na mpinzani aliyeamua kukubali ukweli ili asijitese nafsi yake, tena linajazwa na zile mvua walizosema zisingenyesha, ndio zenyewe zinakaribia kujaza hilo bwawa.

Magufuli aliniachia somo kubwa sana, hasa nikimlinganisha na huyu mtawala tuliyenaye sasa.

Kiongozi siku zote lazima awe na maono, ajue kutumia akili yake ili kutimiza maono yake kwa manufaa ya wale anaowaongoza, awe na msimamo wenye mantiki, sio wa kijinga kama kukumbatia mawaziri mizigo mpaka wakuharibie, na awe na kichwa cha kufikiri, sio kusaidiwa kufikiria na watendaji wake hata wenye mentality ya wizi na ufisadi na kuwatetea kwa nguvu.
JPM alifanya mengi lakini hayupo tena, amebakia kusomwa kama somo la historia linavyosomwa vitabuni.

Kosa letu ni kutaka huyu wa sasa na yeye awe kama JPM kwa vigezo alivyokuwa navyo hayati. Kila nafsi inayo mema na mabaya yake.

Alichopewa SSH hakupewa JPM na kinyume chake ni ukweli pia. Hivyo tupunguze hizi dhana kuwa kesho ina haki ya kufanana mia kwa mia na leo hii.
 
Back
Top Bottom