Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

Hata kama uzembe umekuwepo kabla, lakini anayejitokeza kuuondoa kwa vitendo lazima apongezwe, na ni ajabu sana kutowashangaa wale wanaokumbatia huo uzembe kwa sababu wameukuta ukiwepo tangu kabla, hapa nawe ukiwa mmoja wao.
Kaka unajua biashara ngapi zimekufa kule Arusha katika awamu ya tano kwa kisingizio cha kupambana na huo uzembe?.

Awamu ya tano licha ya kutekeleza miradi mikubwa, kuna akili fulani ya utendaji kazi ilikuwa inapungua.
 
Mpaka sasa Tanzania haiwezi unda kijoko kwa mitambo ya wazawa.
Kualika warabu waje wajenge bwawa la umeme ni u-geneus. Muwe serious kidogo.
Kama huyu ni geneus raisi wa China atakuwa nani?
 
Wenye akili ya kuku hawajui kuwa wazo la umeme wa Stieglers Gorge lipo hata kabla ya uhuru.
Mwalimu alisha anza kuliweka kwenye bajeti kwa kuanzisha RUBADA.
Utoto nao mzigo.
Wewe jidula mabambasi,unajulikana wazi,wewe ni wakili wa shetani,ktk umri wako wewe,hujawahi kimpenda mtu mwadilifu.
 
Immortal words
IMG_20230603_232829.jpg
 
Kaka unajua biashara ngapi zimekufa kule Arusha katika awamu ya tano kwa kisingizio cha kupambana na huo uzembe?.

Awamu ya tano licha ya kutekeleza miradi mikubwa, kuna akili fulani ya utendaji kazi ilikuwa inapungua.
Usitake kunidanganya Royal Tour imekuwa na mafanikio wakati hakuna chochote kilichobadilika huko Arusha, zile propaganda za kusema wageni wameongezeka zimejifia kifo cha mende.

Muhimu hapa tutajiwe mfadhili tumjue..
 
Africa/Tanzania naomba niongelee Tanzania
emoji1241.png
ni nchi yenye watu makini sana yaani wenye akili nyingi sanaa isiyo na mfano tena akili asilia kabsa na ukiacha kufichwa fichwa vitu lakini sisi bado tuna uelewa mkubwa sana ambao sio wa kufundishwa na dunia nzima inajua yaani mataifa yote ya nchi yanafahamu hakuna asiyejua Tanzania ni nani?

Magufuli alikuwa ni akili Kubwa.

Kiongozi mzuri ni yule anayefanya maamuzi siyo kuwa na mpango tu kwenye makabrasha.

Wazo bila uthubutu halina maana. JPM ni next level

Tukubali tu yule baba alikua nabii
 
Wewe jidula mabambasi,unajulikana wazi,wewe ni wakili wa shetani,ktk umri wako wewe,hujawahi kimpenda mtu mwadilifu.
Na wewe mwenye akili za kuku , uliyembeba Ibilisi muuaji mgongoni, hujui hata uadilifu ni nini.
Maana mwizi wa Trilioni 1.5 kwako ni malaika.
 
Hizo Story tu Mkuu,hakuna utawala usio ua,kuna criminals ambao ni lazima uwamalize ili nchi itulie.
Ata wewe ukipewa Urais na kuna criminals mbele Yako ambao wanakuwekea Giza,uta dili nao tu,hamna namna.
Serikali haiwezi kuangaika na mtu ambaye hana madhara kwa usalama wa nchi na ndiyo maana unapopewa uongozi unakula kiapo!
Hii ni kanuni mojawapo kwenye kanuni 48 za kutawala... Ukweli mchungu sana huu.
 
Hizo ni protocol za kiusalama,na ndiyo maana ata CIA walimuua Rais John Kennedy kwasababu alikwenda kinyume na kiapo.Sasa sembuse wewe Mwayangumwayangu ulete ngebe Dola likuache.
Kwamba CIA walimuua jfk?[emoji848] Sikupingi ila hii ni Moja ya unsolved conspiracy theory.
 
Wenye akili ya kuku hawajui kuwa wazo la umeme wa Stieglers Gorge lipo hata kabla ya uhuru.
Mwalimu alisha anza kuliweka kwenye bajeti kwa kuanzisha RUBADA.
Utoto nao mzigo.
Kwani halikutekelezwa kwa miaka yote hiyo au halikuwa na umuhimu?
 
Hivi hayo yote hayawezi kutokea hadi upoteze watu kwa sababu tu wana mawazo tofuati na yako! Wewe nani hadi ujione wewe tu ndiye mwenye mawazo sahihi na hutaki kukosolewa na yeyote.
Hata kwenye nchi mnazosifia kuhubiri demokrasia zinaongoza kuua, chukulia marekani inaua wangapi. Vile vile unadhani wale walionyang,anywa tonge mdomoni hawezi kufanya matukio kama hayo ili kuharibu taswira ya yule aliyenyang'anya.Je hapakuwa na mauaji kabla ya Magufuli kuingia?
 
kwa hiyo mfu wako anaijenga akiwa kaburini? Wapumbavu ni wapumbavu tu, kila siku kumwongelea mfu anayetumikia adhabu ya kaburi. Mmeishiwa kichwani mpaka basi. Anayejenga uo mradi ni Samia Suluhu Hassan we ngedere
Aliukuta ujenzi ukiwa kwenye asilimia ngapi, ni mradi gani mkubwa aliouanzisha yeye tangu aingie au hakuna miradi mikubwa mingine inayohitaji
 
Usitake kunidanganya Royal Tour imekuwa na mafanikio wakati hakuna chochote kilichobadilika huko Arusha, zile propaganda za kusema wageni wameongezeka zimejifia kifo cha mende.

Muhimu hapa tutajiwe mfadhili tumjue..
Uliwahi kuwaulizia wafadhali wa awamu ya tano licha ya miradi mingi kuanzishwa na kuonekana kufanikiwa?.

Punguza kuishi na chuki zisizo na sababu.
 
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?

Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.

I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.

Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.

Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Hujui historia ya Bwawa la nyerere wewe plan zake zimeanza.... 1928 na waingereza kabla hata ya Magufuli hajazaliwa, unajua kwanini paliitwa Stigler gorge ?? Au unampigia marehemu mapambio tu
 
Uliwahi kuwaulizia wafadhali wa awamu ya tano licha ya miradi mingi kuanzishwa na kuonekana kufanikiwa?.

Punguza kuishi na chuki zisizo na sababu.
Kumbe hujielewi, kukwambia ututajie mdhamini wa Royal Tour ndio chuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ok basi, wewe baki na mahaba yako🫣🫣
 
Back
Top Bottom