Hii timu ya Angola ingecheza na Yanga ingeshinda

Hii timu ya Angola ingecheza na Yanga ingeshinda

Basi umeona tofauti na uhalisia, Al Hilal angecheza na Simba, Simba wangefungwa sio chini ya 4. Bravo hawana maamuzi sahihi golini tofauti na Al Hilal wao pasi tatu wapo golini kwako na wana kasi na maarifa mengi golini kwa mpinzani.
Simba tokea kipindi cha pili kianze wamekata pumzi na wamefanya makosa mengi sana ambayo Al Hilal hakuachi kamwe
 
F.C Bravos do Maquis inayocheza na Simba leo (Shirikisho) nimeona kiwango Chao kiko juu sana kuliko Yanga. Leo hii ingekuwa inacheza na Yanga ingeshinda hata goli 3.
Vibonde wamekutana, timu imekuja jana haijafanya hata mazoezi inawatoa kamasi namna hii. Simba jengeni timu hapa hakuna kikosi.
 
F.C Bravos do Maquis inayocheza na Simba leo (Shirikisho) nimeona kiwango Chao kiko juu sana kuliko Yanga. Leo hii ingekuwa inacheza na Yanga ingeshinda hata goli 3.
Yanga mchezaji analipwa zaidi ya milioni 15 kwa mwezi eti hana nishati ya dk 90 ama 120, cha ajabu anayelipwa milioni moja kwa mwezi toka timu nyingine anaweza akawa zidi kwa nishati wachezaji wa yanga
 
Mkuu umeona mbali sana angecheza na nyuma mwiko angeshinda zaidi ya goli 3.
 
I fanyeni analysis timu yenu shauri yenu, Yanga upepo ila sio wabovu, half ya pili nilitegemea msukumize mashabulizi ila ikawa vice versa, naona still bado mnakata moto.
 
Basi umeona tofauti na uhalisia, Al Hilal angecheza na Simba, Simba wangefungwa sio chini ya 4. Bravo hawana maamuzi sahihi golini tofauti na Al Hilal wao pasi tatu wapo golini kwako na wana kasi na maarifa mengi golini kwa mpinzani.
Simba tokea kipindi cha pili kianze wamekata pumzi na wamefanya makosa mengi sana ambayo Al Hilal hakuachi kamwe
Al Hilal wanaijua sana Simba
 
I fanyeni analysis timu yenu shauri yenu, Yanga upepo ila sio wabovu, half ya pili nilitegemea msukumize mashabulizi ila ikawa vice versa, naona still bado mnakata moto.
Kocha mpya wa yanga nikweli hawafahamu vizuri wachezaji wa yanga, meneja wa timu nadhani ni mzembe

Swali fikirishi je mkurugenzi wa ufundi aliyesajiliwa hivi karibuni toka KCMC, hana mchango kwasasa kwa maana yeye atakuwa anawafahamu wachezaji wa.yanga
 
Kocha hawafahamu wachezaji meneja wa timu nadhani ni mzembe

Swali fikirishi je mkurugenzi wa ufundi aliyesajiliwa hivi karibuni toka KCMC, hana mchango kwasasa kwa maana yeye atakuwa anawafahamu wachezaji wa.yanga
Mkurugenzi wa ufundi mpya, kocha mpya na makocha wanafalsafa zao mara nyingi hawapendi kuingiliwa. Tukubali tu Yanga viongozi walikosea kumtoa Gamondi. Jana ile Sub ya Abuya na Max Gamondi hasingeifanya, sababu timu ilipoteza balance,wachezaji wote walikuwa wanacheza karibu na box la mpinzani matokeo yake bonge la gap limeachwa ikapigwa kaunta imo,sababu kulikuwa hamna kiungo mkabaji.

Mimi kocha mpya simlaumu kwani now ni mda wake wa kuweka falsafa zake ,sasa hapo inahitaji uvumilivu hasa kwa mashabiki maana wachezaji wanaweza wakawa waelewa kwa haraka ikawa nzuri kwetu au ikiwa watakuwa wazito basi mwendo utakua huu huu.
 
I fanyeni analysis timu yenu shauri yenu, Yanga upepo ila sio wabovu, half ya pili nilitegemea msukumize mashabulizi ila ikawa vice versa, naona still bado mnakata moto.
Hata kwa tabora united ni upepo ule?
1000194627.jpg
 
Huu ushauri ungeupeleka kwenu huko mkuu simba hatuitaji ushauri wenu utopolo.
Kwa hiyo ww ndiye mwenye haki ya kutoa maoni kwa Yanga? Mnakata moto half ya pili huo ndio ukweli, shukuruni tu mmeshinda ila ilikuwa papatu papatu.
 
Mkurugenzi wa ufundi mpya, kocha mpya na makocha wanafalsafa zao mara nyingi hawapendi kuingiliwa. Tukubali tu Yanga viongozi walikosea kumtoa Gamondi. Jana ile Sub ya Abuya na Max Gamondi hasingeifanya, sababu timu ilipoteza balance,wachezaji wote walikuwa wanacheza karibu na box la mpinzani matokeo yake bonge la gap limeachwa ikapigwa kaunta imo,sababu kulikuwa hamna kiungo mkabaji.

Mimi kocha mpya simlaumu kwani now ni mda wake wa kuweka falsafa zake ,sasa hapo inahitaji uvumilivu hasa kwa mashabiki maana wachezaji wanaweza wakawa waelewa kwa haraka ikawa nzuri kwetu au ikiwa watakuwa wazito basi mwendo utakua huu huu.
Hata mimi simulaumu kocha ila viongozi walichemka japo nifunzo kwa yanga kuacha kuokoteza wavhezaji hivi Baleke alisajiliwa wanini kama hachezi, mchezaji kama hachezi haina maana
 
Basi umeona tofauti na uhalisia, Al Hilal angecheza na Simba, Simba wangefungwa sio chini ya 4. Bravo hawana maamuzi sahihi golini tofauti na Al Hilal wao pasi tatu wapo golini kwako na wana kasi na maarifa mengi golini kwa mpinzani.
Simba tokea kipindi cha pili kianze wamekata pumzi na wamefanya makosa mengi sana ambayo Al Hilal hakuachi kamwe
mimi ni simba lakini uko sahihi mkuu, al hilal ni another level, simba wajipange sana huko ugenini!!
 
Hata mimi simulaumu kocha ika viongozi walichemka ila nifunzo kwa yanga kuacha kuokoteza wavhezaji hivi Baleke alisajiliwa wanini kama hachezi, mchezaji kama hachezi haina maana
Sometimes mpira wetu tunakomoana tu ili mradi, Baleke na Musonda watupishe watafute wachezaji wengine.
 
Back
Top Bottom