Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Hata prince Dube naona hamna kitu, dhana ya mchezaji wa siku haifai kwenye mashindano kama haya labda ndondo cupSometimes mpira wetu tunakomoana tu ili mradi, Baleke na Musonda watupishe watafute wachezaji wengine.