Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
Al Hilal mechi yetu ya kirafiki walikaza utafikiri tunacheza kitu kitu.Basi umeona tofauti na uhalisia, Al Hilal angecheza na Simba, Simba wangefungwa sio chini ya 4. Bravo hawana maamuzi sahihi golini tofauti na Al Hilal wao pasi tatu wapo golini kwako na wana kasi na maarifa mengi golini kwa mpinzani.
Simba tokea kipindi cha pili kianze wamekata pumzi na wamefanya makosa mengi sana ambayo Al Hilal hakuachi kamwe
Sasa nyie leo mmecheza mpira gani? Kama sio bahati? Kwenye mpira kuna vitu viwili hasa kwenye ushindi,unweza ukashinda sababu ya kuwa unajua na unaweza ukashinda sababu unabahati.Mkuu kwa mpira mliocheza Jana hakuna matumaini ya nyie kuendelea hata ukiangalia mechi zenu za nyumba mlizopigwa mna hali ngumu mno mshapoteana timu nzima imepoteza dira, timu inaweza kupoteza mchezo lakini ukaona kabisa imepambana na inaweza kufanya maajabu second mechi lakini sio kwa yanga yenu, itawachukua mda kua Sawa.
Kwa reference gani?Lini Al Hilal ameshaifunga Simba hata kwenye mechi y kirafiki?Basi umeona tofauti na uhalisia, Al Hilal angecheza na Simba, Simba wangefungwa sio chini ya 4. Bravo hawana maamuzi sahihi golini tofauti na Al Hilal wao pasi tatu wapo golini kwako na wana kasi na maarifa mengi golini kwa mpinzani.
Simba tokea kipindi cha pili kianze wamekata pumzi na wamefanya makosa mengi sana ambayo Al Hilal hakuachi kamwe
Mpira sio tatu mzuka utegemee bahati.Walete Mbalizi Rovers wawe na bahati wacheze na Liverpool utegemee bahati?Wacha kuukosea mpira heshima.Sasa nyie leo mmecheza mpira gani? Kama sio bahati? Kwenye mpira kuna vitu viwili hasa kwenye ushindi,unweza ukashinda sababu ya kuwa unajua na unaweza ukashinda sababu unabahati.
Hata kwenye kufungwa unafungwa sio sababu hujui ila hauna bahati.Hawa Bravo leo hawakuwa na bahat,ila kipindi cha pili walicheza mpira mzuri kuliko nyie na mlikata moto.
Naona mmekuwa na heshima kwa Al Hilal.Hao Al Hilal lini wameifunga Simba hata mechi ya kirafiki?Wacheni kujificha kwenye kivuli cha Al Hilal.Wacha weee kumbee,,hivi awa majimaji wa Angola unawaweka level Moja na Al hilal? Bangi ni mbaya mdogo wangu ziache sio nzuri,,kwa nafasi walizopata Hawa bravos wangekuwa Al hilal si ungekuwa ushaenda kulala saizi mtani,,
Mbona hujasema kuwa nikumbuke kuwa walikuwa pungufu? Na kwanini hukuweka angalizo kuwa kuna wachezaji wao wengi walikuwa wameitwa national team?Al Hilal mechi yetu ya kirafiki walikaza utafikiri tunacheza kitu kitu.
Waliopo sawazisha wakawa wanapaki bus.
Na moment ambayo ilinishangaza ni pale ambapo walipoanza kujiangusha ili kupoteza muda kuhofia watafungwa lapili.
Kumbuka hiyo ni mechi ya kirafiki tu...
Lakini nyie wamechezea soft sana, na ndio maana imekuwa rahisi ku post ile tweet
Walikuja hapa kwenye mashindano maalum yaliyoandaliwa na Simba wakafungwa goli 4.Kama una kumbukumbu mechi ambayo Benard Morrison aliweka mpira katikati ya miguu akijifanya ana busha baada ya kuweka kambani goli 2.Mbona hujasema kuwa nikumbuke kuwa walikuwa pungufu? Na kwanini hukuweka angalizo kuwa kuna wachezaji wao wengi walikuwa wameitwa national team?
Al Hilal unayoisemea wewe ni hii ya Ibenge?Walikuja hapa kwenye mashindano maalum yaliyoandaliwa na Simba wakafungwa goli 4.Kama una kumbukumbu mechi ambayo Benard Morrison aliweka mpira katikati ya miguu akijifanya ana busha baada ya kuweka kambani goli 2.
So Al Hilal hajawahi kumsumbua Simba.Ni kiboko yenu.
Mpira sio bahati mkuu, kukosa clear chance usigeuze kua nikukosa bahati bali ni uzembe na udhaifu wa timu. Kama ni bahati timu zisingekua zinaweka billions of shillings kwenye bajeti ya kusajili wachezaji bora despite wangekua wanangoja bahati iwakute.Sasa nyie leo mmecheza mpira gani? Kama sio bahati? Kwenye mpira kuna vitu viwili hasa kwenye ushindi,unweza ukashinda sababu ya kuwa unajua na unaweza ukashinda sababu unabahati.
Hata kwenye kufungwa unafungwa sio sababu hujui ila hauna bahati.Hawa Bravo leo hawakuwa na bahat,ila kipindi cha pili walicheza mpira mzuri kuliko nyie na mlikata moto.
Wewe mpira hujui,kama ukipata muda kaangalie Euro alilo chukua Ugiriki,alizipiga timu mkubwa na fainali akacheza na Ureno tena Ureno alikuwa muandaaji,Ureno ikiwa na Ronaldo pamoja na Figo wote wa moto ila Ugiriki akashinda na ugiriki kuanzia Robo mpaka fainali alikuwa anashinda kwa goli moja tuu. Ndio maana kwenye vibanda umiza ushindi wa goli moja tulikuwa tunauita Chaugiriki.Mpira sio tatu mzuka utegemee bahati.Walete Mbalizi Rovers wawe na bahati wacheze na Liverpool utegemee bahati?Wacha kuukosea mpira heshima.
Huo ujinga wa wachezaji wa Jana waliokua wanafanya ndio poor performance yenyewe huwezi ukasema timu iliperfom vizuri wakati wachezaji walikua wanacheza upuuzi tuu.Na ndio maana nikamalizia na takwimu sikutaka kuongea maneno matupu, kwenye mpira kuna matokeo halafu kuna performance. Kwenye performance jana Yanga ilikuwa vizur sana ila wameshindwa kupata matokeo kwa ujinga wa wachezaji wenyewe. Zile nafasi zingekuwa converted kuwa magoli hakuna mtu angelalamika
Kwenye mpira bahati ipo sijaju kama uliangalia fainali ya Euro 2004 Ugiriki alikuwa bingwa, kwa ushindi wake wa goli moja moja baada ya hapo anaweka basi.
Mpira sio bahati mkuu, kukosa clear chance usigeuze kua nikukosa bahati bali ni uzembe na udhaifu wa timu. Kama ni bahati timu zisingekua zinaweka billions of shillings kwenye bajeti ya kusajili wachezaji bora despite wangekua wanangoja bahati iwakute.
Kwani wewe performance unaipima kwa nini? Hivi unajua Chelsea msimu uliopita pamoja na kushika nafasi za chini ila kitakwimu za kiuchezaji mpaka chance alizo create alikuwa anashika nafasi ya tatu.Huo ujinga wa wachezaji wa Jana waliokua wanafanya ndio poor performance yenyewe huwezi ukasema timu iliperfom vizuri wakati wachezaji walikua wanacheza upuuzi tuu.
Kwanini useme ni bahati na sio ubora wa timu ya ugiriki na technical bench nzima?Kwenye mpira bahati ipo sijaju kama uliangalia fainali ya Euro 2004 Ugiriki alikuwa bingwa, kwa ushindi wake wa goli moja moja baada ya hapo anaweka basi.
Nilikufunga moja bila goli la Morisson, vp sikuile ulizidiwa na Yanga? Sijui tunaelewana unaweza ukasajili na still ukapata matokeo mabovu,japo takwimu zako kiuchezaji nzuri.
Hamna club inayotegemea bahati, ila kwenye mpira bahati zipo na hata makocha wanakubali,kuna game zinaisha mnaona kabisa hamkustahili kushinda ila bahati ilikuwa upande wenu.
Uzuri fainal niliitizama.Jamaa walikuwa na bahati hata Arsenal iliyo cheza fainali na Barca nayo walingia fainali kwa zali, sababu hakikuwa kikosi bora kama kile cha Unbeaten mechi 49.Kwanini useme ni bahati na sio ubora wa timu ya ugiriki na technical bench nzima?
Kwa hiyo Ugiriki alishinda kwa bahati?Ukishinda kwa goli 1 ndio bahati?Ugiriki alikuwa na uwezo wa kushinda kwa kucheza defensive minded game na kushinda kwa set pieces na counter attack.Na timu ile ya Ugiriki ndio timu ya karne kwa soka la Ugiriki.Jifunze mpira wacha kuwa shabiki wa vibanda umiza.Wewe mpira hujui,kama ukipata muda kaangalie Euro alilo chukua Ugiriki,alizipiga timu mkubwa na fainali akacheza na Ureno tena Ureno alikuwa muandaaji,Ureno ikiwa na Ronaldo pamoja na Figo wote wa moto ila Ugiriki akashinda na ugiriki kuanzia Robo mpaka fainali alikuwa anashinda kwa goli moja tuu. Ndio maana kwenye vibanda umiza ushindi wa goli moja tulikuwa tunauita Chaugiriki.
Kwenye mpira bahati ipo.
Kwanini useme ni bahati na sio ubora wa timu ya ugiriki na technical bench nzima?
Mkuu umesema yanga alikua na performance nzuri ila hakupata matokeo hapo hapo ukasema wachezaji wamekosa matokeo kwa uzembe wao wenyewe, Sasa hapo good performance imetoka wapi? Nini maana ya good performance? Good performance inaendana na matokeo chanya basi izo nyingine unazoleta ni siasa tuu. Nyie ndio Faizafoxy hua anasema shuleni mlienda kusomea ujinga.Kwani wewe performance unaipima kwa nini? Hivi unajua Chelsea msimu uliopita pamoja na kushika nafasi za chini ila kitakwimu za kiuchezaji mpaka chance alizo create alikuwa anashika nafasi ya tatu.
Au ww performance unaitafsiri kwa magoli? Kama akili zenyewe ndio hizo,si shangai why Yanga walimtimua Gamondi na nyie mlimtimua Uchebe.